mkubwa,
uzuri mshiki ananielewa kuwa mimi ni mtu WA MATUKIO!nilimuadvice vizuri sana kwamba akitaka nitulie,atoe vitu!.........
nashukuru mungu nimetulia!
hahahahahahaha!Hahaha! Hiyo nimeikopi na kuipesti kwa wallet! Badaye atapelekewa Matron, Halima na Eliza kwa msisitizo zaidi!
Kama una uhakika kuwa ni vyako kwa nini unaisubiri kwa hamu kubwa tarehe 13/2/2009? ili iweje? si ukae tu hivyohivyo.Uzinifu?????!how?
najilia vyangu bwana
nakuondolea nuksi,NAKUGONGEA SENKSI YA KWANZA!hii ni historia kwako,kwa maana hakuna mtu mwingine atakaekugonga SENKSI YA KWANZA
hiyo mimi siisubiriKama una uhakika kuwa ni vyako kwa nini unaisubiri kwa hamu kubwa tarehe 13/2/2009? ili iweje? si ukae tu hivyohivyo.
Kama una uhakika kuwa ni vyako kwa nini unaisubiri kwa hamu kubwa tarehe 13/2/2009? ili iweje? si ukae tu hivyohivyo.
nakuondolea nuksi,NAKUGONGEA SENKSI YA KWANZA!hii ni historia kwako,kwa maana hakuna mtu mwingine atakaekugonga SENKSI YA KWANZA
na wewe nigongee!kama vipi nitaiondoaAhsante kaka kwa senksi yako ya kwanza
Hata kama iwe 2020,bado maana ipo palepale,kwa nini uisubiri.si uendelee tu kula vyako?una wasiwasi gani?hiyo mimi siisubiri
mimi naisubiri tarehe hiyo hiyo kwa mwaka 2010
na wewe nigongee!kama vipi nitaiondoa
mimi sioi ili nijilie vyangu!kwa mtizamo wangu ndoa kwangu ina maana kubwa zaidi ya hilo!nimeiangalia familia yangu after ten years,nimewaangalia watoto wangu after ten years,nimeangalia MAADILI YA KIKRISTO YANATAKA TUISHI VIPI!...otherwise ''vyangu'' nilikuwa najilia since 2004😀Kama una uhakika kuwa ni vyako kwa nini unaisubiri kwa hamu kubwa tarehe 13/2/2009? ili iweje? si ukae tu hivyohivyo.
hapo hapo.kama ni vyako mpaka uutangazie uma? mbona vingine havitangazwi.Usimdanganye mwenzio.tena siku hiyo ni lazima kwenda kwenye kitubio kwa padre kuungama.Msitake kuhalalisha vitu ambavyo havistahili.semeni mioyo yetu ni migumu tu ndio maana tunalianzisha kabla.Pale ni kuutangazia umma rasmi kwamba mtu akimsogelea mshiki kwa karibu, ze pillar lina mamlaka ya kumtwanga rungu kichwani na kwenye baioloji yake! Shenzy taipu zao watakaomsogelea mshiki 13/04. Mchango ushatoa lakini?
sasa wewe zayonidota,hapo hapo.kama ni vyako mpaka uutangazie uma? mbona vingine havitangazwi.Usimdanganye mwenzio.tena siku hiyo ni lazima kwenda kwenye kitubio kwa padre kuungama.Msitake kuhalalisha vitu ambavyo havistahili.semeni mioyo yetu ni migumu tu ndio maana tunalianzisha kabla.
Nina bf wangu ambaye tuko kwenye uhusiano kwa muda sasa, all was very well at the beginning lakini lately naona mabadiliko ambayo yanapelekea mie kupata wasi wasi kwamba he is not serious anymore, ukimuliza what is wrong majibu yanakuwa am very busy, kazi nyingi, shuguli za hapa na pale, inapelekea sometimes inapita mwezi hatuonani na anadai ni vijimambo 2 vinatufanya tuwe apart, mind you haya yote hayakuwepo mwanzoni, basi hivi majuzi nikamtolea uvivu nikamwambia just tell me if its over ili ni move on with my life, lakini akaniambia he still loves me, and am imagining things, hivi hii inawezekana kweli ukaribu ni zero, caring ni sifuri. Naombeni msaada wa ushauri wanajf maana naona things are getting worst.
Hongera,naona kuna kanisa JIPYA linaanzishwa,Sishangai lakini.Ni kawaida yetu Kukiri kwetu na kutenda kwetu huwa ni tofauti.mimi sioi ili nijilie vyangu!kwa mtizamo wangu ndoa kwangu ina maana kubwa zaidi ya hilo!nimeiangalia familia yangu after ten years,nimewaangalia watoto wangu after ten years,nimeangalia MAADILI YA KIKRISTO YANATAKA TUISHI VIPI!...otherwise ''vyangu'' nilikuwa najilia since 2004😀
Hongera,naona kuna kanisa JIPYA linaanzishwa,Sishangai lakini.Ni kawaida yetu Kukiri kwetu na kutenda kwetu huwa ni tofauti.
Mara nyingi huwa tukisema ndio = siyo and vice versa is true.
Naona niishie hapa sababu hakuna mwisho wa hili.
Hongera,naona kuna kanisa JIPYA linaanzishwa,Sishangai lakini.Ni kawaida yetu Kukiri kwetu na kutenda kwetu huwa ni tofauti.
Mara nyingi huwa tukisema ndio = siyo and vice versa is true.
Naona niishie hapa sababu hakuna mwisho wa hili.
Hahaha! Mpwa bana! Acha nicheke kidogo! Heb niache nikompee hiyo red na blue nione kama kuna kinachoendelea hapo! Stuka Mpwa!!! Wanaume ndio zetu, tukikuchoka tunahamishia ratiba kwenye kuwa busy! Don wore sisy, kuna vijana serious kibao wamejaa! Du yu knoo woram seyying? Ushamwagwa dada! Stuka!
Iribini you have said it very well.....Lilyflower sweetheart I can feel wat you are talking about...men, men, men!!!! ngumu kuwaelewa viumbe hawa!!!
Sasa ikawaje hujagonga kale kabatani ketu? btw ulikuwa wapi mbona huagi wakubwa zako?