Huyu ananitania au ananipima

Lily nafikiri usome alama za nyakati. cha kufanya hapo ondoka haraka sana, tena endelea kusali sana ili awe bussy more than now.

Nakushauri uachane nae fanya mambo yako wa kwako atakuja tu
 
kurasa nyingi za kusoma hata kabatani sikaoni tena!!! nilikua moshi xmas na msiba we acaha tu!!!! usinikumbushe machungu mie!!!

Nani tena ali rest in peace? Pole! Sasa unalia nini? Nyamaza basi!
 
Lily nafikiri usome alama za nyakati. cha kufanya hapo ondoka haraka sana, tena endelea kusali sana ili awe bussy more than now.

Nakushauri uachane nae fanya mambo yako wa kwako atakuja tu
halafu wewe unapenda kweli kuwashauri watu waachane na wapenzi wao,sijajua ni kwanin
 

Jibu ndo liko hapo LF, kama walivosema wengine, saa nyingine sio lazima akwambie, we soma mchezo kisha mwambie tu kuwa kwa hali halisi wewe basi tena and then u move on

hata kama utamove on an geoff, we mtambulishe kuwa huyu ndo mupya!
 
Jibu ndo liko hapo LF, kama walivosema wengine, saa nyingine sio lazima akwambie, we soma mchezo kisha mwambie tu kuwa kwa hali halisi wewe basi tena and then u move on

hata kama utamove on an geoff, we mtambulishe kuwa huyu ndo mupya!

Hahaha! Nimeliona pande hilo!
 
halafu wewe unapenda kweli kuwashauri watu waachane na wapenzi wao,sijajua ni kwanin

Goeff hapo kuna mapenzi tena?? hata mi namshauri Liliy achape mwendo! mijanaume mingine bwana sasa kwa nini halimwambii tu its over basi!!! Linataka kote kote , thats being selfish!!!
 
Goeff hapo kuna mapenzi tena?? hata mi namshauri Liliy achape mwendo! mijanaume mingine bwana sasa kwa nini halimwambii tu its over basi!!! Linataka kote kote , thats being selfish!!!

We ulishawahi kutendwa?
 
..dah!πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€!siku hizi una hasira kweli!
huyo ni mhasibu kwenye kamati
muulize Xpin anajua kwa nini ZD ana hasira sana siku hizi haaaaa!!

ZD sweety how are you???
 
...Geoff kwa mipira iliyokufa nakukubali mazee. Haya dumisha mila mpwa!!
mkuu,
ni vijana wachache sana wa ki-tanzania ambao tupo tayari kudumisha mila(yaani pamoja na kuwowa wanawake zaidi wa watatu)!NIPE SENKSI KWA MSIMAMO HUO BAS MPWAAAA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…