Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,265
mchango wako na nani?Mwisho upo! Kwanza tunahitaji mchango wetu wa 13/04 kabla hatujaendelea.
..dah!πππ!siku hizi una hasira kweli!mchango wako na nani?
kurasa nyingi za kusoma hata kabatani sikaoni tena!!! nilikua moshi xmas na msiba we acaha tu!!!! usinikumbushe machungu mie!!!
mchango wako na nani?
halafu wewe unapenda kweli kuwashauri watu waachane na wapenzi wao,sijajua ni kwaninLily nafikiri usome alama za nyakati. cha kufanya hapo ondoka haraka sana, tena endelea kusali sana ili awe bussy more than now.
Nakushauri uachane nae fanya mambo yako wa kwako atakuja tu
Nilimwambia he must be having an affair na mtu mwingine akakataa, yeye ni mfanyabiashara na cko kifedha zaidi maana am also earning, I think u no wart am seying
Tulipendana mno, ndio hivyo mwenzangu ananifanyia vimbwanga na kwanini hataki kuniambia its OVA, kwani kuna ubaya tukiaachana kwa usalama??
Jibu ndo liko hapo LF, kama walivosema wengine, saa nyingine sio lazima akwambie, we soma mchezo kisha mwambie tu kuwa kwa hali halisi wewe basi tena and then u move on
hata kama utamove on an geoff, we mtambulishe kuwa huyu ndo mupya!
halafu wewe unapenda kweli kuwashauri watu waachane na wapenzi wao,sijajua ni kwanin
Goeff hapo kuna mapenzi tena?? hata mi namshauri Liliy achape mwendo! mijanaume mingine bwana sasa kwa nini halimwambii tu its over basi!!! Linataka kote kote , thats being selfish!!!
muulize Xpin anajua kwa nini ZD ana hasira sana siku hizi haaaaa!!..dah!πππ!siku hizi una hasira kweli!
huyo ni mhasibu kwenye kamati
mimi ndipo ninapompendea kaizer!kati kati ya stori anakupigia pasiHahaha! Nimeliona pande hilo!
We ulishawahi kutendwa?
Kaka ukimpa alafu bado akuache si ndio balaa zaidi? hapo atasema you are to easy, shida iko kote kote, best thing nikukaa single.
We acha tu he is very jinias.mimi ndipo ninapompendea kaizer!kati kati ya stori anakupigia pasi
muulize Xpin anajua kwa nini ZD ana hasira sana siku hizi haaaaa!!
ZD sweety how are you???
...Geoff kwa mipira iliyokufa nakukubali mazee. Haya dumisha mila mpwa!!keshakuchoka huyo!
KARIBU KWANGU MPWA!mila zinaruhusu!...MILANGO IKO WAAAZIπ
mkuu,...Geoff kwa mipira iliyokufa nakukubali mazee. Haya dumisha mila mpwa!!