Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Emmanuel Amunike alikuwa mmoja ya wachezaji wazuri wa naijeria miaka ile ya 90 mnyakyusa huyu na wenzake akina amokachi,george finidi,rashid yekin n.k
Sijajua kwa nini alidhani kuwa mbora katika kusakata kabumbu kungemfanya pia kuwa mbora wa kufundisha.jamaa ameshashindwa katika team yetu ya taifa
Kama anadhani ukocha ni ukali akamuulize Mourihno kilichomkuta. Ukocha ni pamoja na kuwa na saikolojia nzuri ya kukaa na wachezaji kama wadogo zako au watoto wako.
Ni hamasa upendo na kujenga mshikamano.kwa amunike anaonekana kuwa na kiburi,jeuri na ujivuni.namsikiliza kila anapoongea haongei kwa nia ya kujenga.huongea kwa nia ya kutishia na kutaka aogopwe.
Mi nadhani hakupaswa kuhangaika hivyo sura yake tu inatosha kuogofya why na maneno? Kumchagua amunike awe kocha ni kuchagua kushindwa.uchaguaji wke wa wachezaji sijajua unazingatia nini.kama ni nidhamu basi nadhani achague tu walokole na waswahilina.
Lakini hata nidhamu hujengwa taratibu kwa busara na si kutishia watu. Taifa stars ni bora wangepewa hata makocha wazawa lakini huyu jamaa anaturudisha nyuma sana.
Anayachukua 10% percent ya mshahara wake kuna siku watanzania watamnyonya macho hadi yatoke kweye soketi yake.hakuna team ya ushindi chini ya amunike.
Sijajua kwa nini alidhani kuwa mbora katika kusakata kabumbu kungemfanya pia kuwa mbora wa kufundisha.jamaa ameshashindwa katika team yetu ya taifa
Kama anadhani ukocha ni ukali akamuulize Mourihno kilichomkuta. Ukocha ni pamoja na kuwa na saikolojia nzuri ya kukaa na wachezaji kama wadogo zako au watoto wako.
Ni hamasa upendo na kujenga mshikamano.kwa amunike anaonekana kuwa na kiburi,jeuri na ujivuni.namsikiliza kila anapoongea haongei kwa nia ya kujenga.huongea kwa nia ya kutishia na kutaka aogopwe.
Mi nadhani hakupaswa kuhangaika hivyo sura yake tu inatosha kuogofya why na maneno? Kumchagua amunike awe kocha ni kuchagua kushindwa.uchaguaji wke wa wachezaji sijajua unazingatia nini.kama ni nidhamu basi nadhani achague tu walokole na waswahilina.
Lakini hata nidhamu hujengwa taratibu kwa busara na si kutishia watu. Taifa stars ni bora wangepewa hata makocha wazawa lakini huyu jamaa anaturudisha nyuma sana.
Anayachukua 10% percent ya mshahara wake kuna siku watanzania watamnyonya macho hadi yatoke kweye soketi yake.hakuna team ya ushindi chini ya amunike.