GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwa 90% wameshamalizana nae na Mshahara wake wa sasa huko ni 'Kufuru' na Jumba la Kifahari Mbweni Ufukweni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mkata nyasi wake kwenye hilo jumba la dhahabu ni wewe Gentamycine.Kwa 90% wameshamalizana nae na Mshahara wake wa sasa huko ni 'Kufuru' na Jumba la Kifahari Mbweni Ufukweni.
Nakubaliana nawe 100%. Wakala wake alitaka 600M kutoka Kwake hana na Mwenzake wa Posta kaweka 800M nzima.Mo hajawahi aminika kwenye suala lolote la utoaji wa Mpunga
Ukweli wako uko wapi?Uongo
Kuwa huna Akili au?Any proof?
Kutabiri umetimia, Engineer anajiuzulu kumvisha Fei TotoKwa 90% wameshamalizana nae na Mshahara wake wa sasa huko ni 'Kufuru' na Jumba la Kifahari Mbweni Ufukweni.
Kwenye dirisha lipi la usajili mkuu? Icho kitu akipo Azam watamuuza nje ya nchi labda mwishoni mwa msimu huu na sio kwa timu yoyote Ile hapa Tanzania,,Wachezaji waliosajiliwa yanga ni Israel mwenda na Jonathan ikangalombo ndio watatangazwa mda mfupi ujao kabla dirisha alijafungwa saa 6 usikuKwa 90% wameshamalizana nae na Mshahara wake wa sasa huko ni 'Kufuru' na Jumba la Kifahari Mbweni Ufukweni.
Dirisha linafungwa liniKwenye dirisha lipi la usajili mkuu? Icho kitu akipo Azam watamuuza nje ya nchi labda mwishoni mwa msimu huu na sio kwa timu yoyote Ile hapa Tanzania,,Wachezaji waliosajiliwa yanga ni Israel mwenda na Jonathan ikangalombo ndio watatangazwa mda mfupi ujao kabla dirisha alijafungwa saa 6 usiku
Trust me broAny proof?
Kipi chanzo cha habariUkweli wako uko wapi?
Atatumia gillete?Na mkata nyasi wake kwenye hilo jumba la dhahabu ni wewe Gentamycine.