Wapoti;
Inamaanisha kuwa mungu si mwanadamu katika lolote hawezi kudanganywa wala kupendelea upande mmoja
Mkuu, huyu Athmani alitolewa kama mfano kwa wengine, hasa jamii iliyomfahamu Athmani halisi na tabia zake alizokuwa nazo!
Mkuu asante umenipa mwanga wa kutosha juu ya hili