Huyu baba nampenda lakini hanielewi

Ahsante kwa wote mliochangia either negatively na mabomu juu na pia positevely. Ukweli nikwamba huyu jamaa nfio faza house na mimi ndio maza house tuna kahandsome cute bby boy 3 yts now. Mpunga kidogo Mungu katujalia nashukuru hatulali njaa. We uliyrsa nimtumie msg sina haja maana yoote nshamwambiana anayajua. Nayaka kumfanyia tu jambo japo liwe dogo lkn iwe kumbu2 nzuri. Hr is mine n it will remain so. Nobody is going totake him from me. This i can asure u. Tks dudes
 
Dont generslize. Kila mtu sna namna yake ya kulinda mali zake. Watu wengi wana ile mentality kwamba kila me ana mchepuko. La! Hiyo nakataa kbs. Wapo waume na wske wengi sana ambao nivery decemt. Usichukulie kila kitu for granted. Km wewe sio mwaminifu wapo wengi tu waaminifu ukitaka kuwajua nitaweza kutajia lati ya hao2 marafili zako
 
endelea kumtega ipo cku ataingia mwnyewe ktk anga zako kama yy ni rizki yako.ukiona mitego yko haifanikiwi bac jua kuwa kisicho riziki hakiliki hataufanyeje!
 
Ninaye tayari. Niko nae ndio baby wangu na tuna mtt tayari
 
anawashwa na lowassa disease atapona soon
Pole sana na huo mjina wako mbaaaya ndio mana comments zako mbaaayaaaa.. Nashukuru kuwa umesoma uzi wangu na nimejua kuwa umekuumiza sana sababu ya wivu. Pole sio kosa langu wala lako
 
Pole sana na huo mjina wako mbaaaya ndio mana comments zako mbaaayaaaa.. Nashukuru kuwa umesoma uzi wangu na nimejua kuwa umekuumiza sana sababu ya wivu. Pole sio kosa langu wala lako
umeniquote vibaya it was not your comment
 


Naomba ubakie na hii Imani milele ila usije kujiua when ukija kugundua mwenzio ana wake wa pembeni, na usinitafute. Wenzio tunaongea kutokana na experience.
 
Naomba ubakie na hii Imani milele ila usije kujiua when ukija kugundua mwenzio ana wake wa pembeni, na usinitafute. Wenzio tunaongea kutokana na experience.
Wewe na nani? Life haina formula kw hiyo yaliyokupata ndoani sio lazima yanipate mie. Una mawazo kinzani kwamba kila mwanandoa mme ana chepuko Sio wote huo ni mtazamo wako tu. Usihofu yakinikuta sitakutafuta bali nitaleta mrejesho humu2 na ikizidi kuchanua nitakualika ujr kujifunza mbinu walau moja tu.
 


Sawa, ndiyo nyie mnaokuja kujiua baada ya kugundua ukweli.
 
Sawa, ndiyo nyie mnaokuja kujiua baada ya kugundua ukweli.
Nikuache tu namawazo yako ya zamani. Brainwashed huwezi kuamini vinginrvyi maana umeaminishwa hivyo na ndiyo unayotenda. Na aisifuye mvua....... Kwa hiyosikushangai bro. Usimtende mkeo hivyo mpe raha bana. Issue closed!!!
 
[emoji23] Ulivyoongea umenikumbusha "jolene i'm begging of you please dont take my man" ya Dolly parton![emoji23]

#Country boys
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…