Huyu Balozi Tanzania - UN - 1964 William Samwel John Malecela ni nani? Le mutuz njoo unijibu

Kuna yule Dr ceche aliyekua anatoa elimu ya covid kwenye social media ndio huyo mwele
Bila shaka unamaanisha Dr. Secelela Malecela... ni Sece, na sio ceche!! Dr. Mwele (Mwelentuli) na Dr. Cese ni watu wawili tofauti!!
 
Kiafrika mtoto ni mtoto tuu, hatuna cha mtoto wa kambo wala mtoto wa nje wote ni watoto tuu.
P

Mkuu yule dada mliyekuwa mnarusha naye matangazo ya wiki ya Azaki kama siyo mzuri kwenye live coverage,pumzi ilikuwa inakata na kupelekea kuongea kwa shida
 
Mkuu yule dada mliyekuwa mnarusha naye matangazo ya wiki ya Azaki kama siyo mzuri kwenye live coverage,pumzi ilikuwa inakata na kupelekea kuongea kwa shida
Mkuu victory02 , kwanza hongera sana, you have a gift inayoitwa "ayes for details", jicho lako linaona kuliko jicho la kawaida, hivyo unakuwa so notty, watu wa type yako mkimdangaya utashtukiwa!.

Pili asante kwa hii alert, sijawahi kumnote, ila from now nita mu observe. Kiukweli hutokea mara nyingi mtu ukawa na tatizo fulani bila yeye kujijua but watu wenye eye for details wakanote na ukasaidiwa. Thanks for this.
P
 
Huyo mgogo kuna wakati alishasilimu akaitwa jina fulani la kiislamu, kwa hiyo sishangai kuona anaitwa William wakati tunamjua kwa Samuel John Malechela sasa hii William sijui tena
 
Wewe ni mwanasheria na hujui maana ya heirship?????? Kwamba lemutuz is the only heir ???? Kaka unajua Sheria ya Mirathi vizuri na Kama hujui please just refresh your mind kupitia Sheria upya.

Just to make you comfortable, siku hizi watoto wote ni heirs mzee usije ukamshauri kwamba yeye pekee ndio heir simply ndio mtoto wa kiume pekee.
 
Hivi mayalla mwanasheria
Vp ashawahi kusimamia kesi mahakamani
Au ndiyo janjanja ya mzee huyo kutoka kota
Za drive in

Ova
 
Hivi mayalla mwanasheria
Vp ashawahi kusimamia kesi mahakamani
Au ndiyo janjanja ya mzee huyo kutoka kota
Za drive in

Ova
Huyu ni mwanasheria tena alikuwa madarasa mawili nyuma wakati nipo UDSM.

In ili uweze kusimamia kesi Mahakamani lazima uwe umepita kuwa Wakili, hivyo sio kila mwanasheria no Wakili Ila kila Wakili lazima awe mwanasheria.

Sasa huyu alimaliza Sheria lakini akiwa tayari ana fani ya uandishi wa habari, nadhani angetumia elimu ya Sheria kwenye habari za kimahakama au Justice au Mambo ya criminology au kufanya investigative journalism kuhusu crimes au magereza kutembelea angekuwa dili sana tatizo amenikuta ameishia kumlamba Magu na hajachaguliwa mpaka Magu kadanja.

Huwa ananisaidia kukumbuka kwamba we should always play our cards right na kutafuta marafiki wa maana sio kama lemutuz anasubiri urithi zee zima na mikaptura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…