Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu, Kainuka na kuanza kumkimbiza kibaka, Kibaka kuona Bibi hakati tamaa akatupa simu, Bibi kaikota na kuendelea kumkimbiza kibaka,
Kibaka akaanza kulia: "Bibi kama ni simu yako si tayari umechukua"
Bibi kajibu "Bado Mtama"
Bibi hapendagi ujinga…