Huyu bibie wa ki Hispania, nimwambie aje?

New generation ya Wahispania, ndoa kwa maana ya "kufunga ndoa", sio issue kwani sheria zao zinawapa haki ya kukubalika kama wana ndoa kwa kuishi pamoja miaka miwili. Labda utafautishe baina ya divorce na separation. Kwao, divorce ni suala gumu sana kiasi kwamba "wanahofu ya kuoana kwa kuogopa urasimu na gharama kubwa za divorce". Kwa hiyo upo right unaposema wanaweza kukaa pamoja kwa miaka mingi kabla ya kuamua kufunga ndoa, lakini hata ikifikia hatua hiyo, kunakuwa na uhakika wa kuwa ndoa hiyo itadumu. Kwa hili sioni ubaya wowote kwani "sababu kubwa ya divorce katika jamii zetu ni kukimbilia kuoana", baada ya hiyo miaka 5 uliyosema au kasoro, mnagundua kuwa picha haziendi na mnaachana. Na kwa kuwa "at first instance" unaogopa commitment, hii ni faida kwako. Hata hivyo ninakushauri uwe na uamuzi thabiti kwani kukataa kwako commitment kunaweza kupelekea "kumsaliti huyu binti", na kwa kuwa umeshaonja uchungu wa kusalitiwa, usije ukawa msaliti wewe.
Kuhusu tafauti za kiutamaduni, ni suala la kila mmoja kujifunza mema ya utamaduni wa mwenzake, kuvumilia unayoyahisi ni mabaya kwako, na zaidi kulegeza kamba katika misimamo yetu.
Ikiwa huyu msichana kakubali kurudi Bongo, ni ishara tosha ya kuwa nakupenda kweli kwani tatizo au kikwazo kikubwa kwa Wahispania (hasa wasichana) ni kuhama kwao.
Mkuu, ikiwa unampenda, usisubiri sana na chukua uamuzi haraka.
 
mapenzi ya kizungu??? Babaaaangu utasalitiwa vibaya mno hutaamini macho yako, kama yeye hajali mahusiano ya mpenzi wako ulienae siku akiamua kutema atashindwa nini? Hapo ndipo pabaya usipaguse, labda kama unataka kulitandika tunda.
 
Nashukuru Dr, ushauri mzito huu, ila swali jingine nimekuwa najiuliza, uhusiono wa awali ulikuwa casual, huu wa sasa utakuwaje? utakuwa kama awali au she will be more demanding? Sijaweza tengeneza picha bado

...kila mtu na hisia zake, pima mwenyewe hilo 'zali la mentali!'

 
Kaka unasubiri nini sasa?tuletee shemeji bana,kama mapenzi yapo why unaupa dhuluma moyo?
 
ukiwa umechoshwa na kazi, ukipita humu...unakuta maandishi mazuri. Ila Mbu na Mwanakili90 mmeniacha hoi the way mlivyo-present majibu. Jf ni ntamu!
 

Mbu yani acha tu, hya wee! subiri tufungue mioyo🙂)) ha ha

Mleta mada!..Take a chance if you can, inaonesha mko in love!..Hivyo basi live the present life not the past!!
 
mimi nakushauri muunganishe kwanza vikojoreo vyenu ili uone utamu wake usipende kwa macho
 
Acha kujidanganya wewe. Mbona moyo wako umeshaufungua? Hebu vuta huyo mrembo wa kispaniola maisha yaendelee bwana.
 

Hapo nilipobold ndio nilikuwa napatafuta hasa hapo pekundu. Kama unaamini kwa dhati kabisa kuwa wewe umebadilika - yaani unafikiri kimfumo jike kwa sasa - na upo tofauti na ulivyokuwa kabla ya kukutana na huyu mzungu basi endelea. Ila usije kuanza kulalamika kuwa umepangiwa zamu ya kupika, kufua nguo, kuogesha watoto na mambo mengine yanayofanana na hayo. Kuhusu kuwa demanding asingeweza kuwa demanding kwa sababu mlikuwa marafiki tu na hamkutamkiana hata mara moja kuwa mnapendana. Sasa awe demanding ili iweje. Yeye alikuwa anakusoma tu na kukurekebisha hapa na pale ili ufanane fanane na tabia za kwao.
 
Don't worry brother, mwambie kuwa unampenda na usimfiche chochote! Lakini naoomba uelewe kitu kimoja ndugu yangu: Wanawake wachache sana wanaoweza kuwa katika mahusiano na mwanaume mmoja. Kwa hiyo kama unaamua kukubali kuingia kwenye deep love, jitahidi usiingie kwenye details zake sana wala kufuatilia maisha yake kwa undani sana. Anaweza akawa anakupenda, lakini inawezekana naye akawa alishawahi kuwa na mtu ambaye anampenda sana. Hivyo ukiamua kumkaribisha kwenye maisha yako, uwe tayari kwa lolote ili usije kuumia tena!
 

Tata unanitisha kidogo, so tukianza upya there will be different rules, kwamba atakuwa more demanding! Sijabadilika completely, kupika hapo parefu, bado
 
Wewe acha kupoteza muda maisha mafupi furahisha moyo wako maisha bila ya furaha ya dhati sio maisha. wa2 wanatafuta furaha za kweli na hawapat if u feel de way she feel usingojee mara mbili try ur luck
 

Naona kama unajaribu ku generalise wazungu. Mediterranean countries kama Italy, Spain, Portugal and Greece ni family oriented. Tofautisha na nchi kama Uingereza whose people desire modernity, meaning like career outside the home, luxuries, freedom preferred over virtue, etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…