Huyu binti ananinyima mbususu. Nifanyeje?

Huyu binti ananinyima mbususu. Nifanyeje?

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Nimefahamiana nae mwezi wa kwanza. Kwa kuwa nilikuwa na mpenzi mwingine, sikuwa na njaa ya kuitafuna papuchi yake.

Mwezi wa nne akananiita na kunikalisha kikao kisha kunambia kuwa mimi ni mwanaume wa tofauti kwa kuwa nimeweza kukaa nae kwa muda mrefu bila kumuomba utelezi, anajivunia kuwa na mimi na ananipenda sana.

Mwezi wa tano mwanzoni mahusiano yangu yakaenda mrama. Ndipo kumkumbuka kisha kumuomba mbususu niichakate. Aliishia kunikwepa na kunipanga tarehe za uongo na asionekane. Ndipo nilipojisemea kuwa "Yametimia" kisha kufanya mambo yangu.

Za chinichini zikasikika zikimtaja yeye kutembea na binamu yake. Hilo picha nililishuhudia baadhi ya script. Roho ikaniuma sana, kwa kuwa mchakataji haumii roho nikasema "Potelea Pote"

Mahusiano yakawa ndo hivyo kama yamekufa hivi. Japo tulikuwa tukionana lakini cha ajabu hakunipatia salamu. Nikasema "Buyu Buyu, kama Mbwai, Mbwai tu"

Leo saa moja nimeshtushwa na mtu nyuma yangu. Kugeuka kumbe ni binti, anasema kaja kuniaga kwa kuwa ana safari ya kwenda mkoa X kuwapeleka wadogo zake likizo. Hivyo kesho kutwa asubuhi ataondoka.

Ndipo kumuuliza kama kesho atakuwepo free, akasema kuwa yupo. Nikamgusia suala la mbususu, hakujibu badala yake akaondoka mbele yangu akiwa kachukia.

Ushauri tafadhari!
 
Unalazimishaje kupewa mbususu akati mtaani zipo kibao tu. Alafu utakuta anakunyima mbususu na kuna mwamba anajimegea apendavyoo.
 
Hapo kuna mjanja anapewa mbususu kwa kulazimishwa huku wewe zoba ukinyimwa.

Mapenzi ni maringo,, unapaswa uryaingie vinginevyo yatakuringia.
 
Tafuta PESA mbususu haibembelezwi🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nimefahamiana nae mwezi wa kwanza. Kwa kuwa nilikuwa na mpenzi mwingine, sikuwa na njaa ya kuitafuna papuchi yake.

Mwezi wa nne akananiita na kunikalisha kikao kisha kunambia kuwa mimi ni mwanaume wa tofauti kwa kuwa nimeweza

Huna nyota
 
Ila mwanaume hakuna kitu kinauma kama kunyimwa mbususu.... yaani unahisi kuna kitu hakijatimia mpaka ukamilishe azma yako
Hahahahahaah huwa ina pain sana yaani unakuta unanyimwa wewe tena una wadhifa fulani kitaa ahalfu anaenda pewa mchimbachumvi fulani hivi mchafu ***** once siku ukiipate ni maangazi tu
 
Nimefahamiana nae mwezi wa kwanza. Kwa kuwa nilikuwa na mpenzi mwingine, sikuwa na njaa ya kuitafuna papuchi yake.

Mwezi wa nne akananiita na kunikalisha kikao kisha kunambia kuwa mimi ni mwanaume wa tofauti kwa kuwa nimeweza kukaa nae kwa muda mrefu bila kumuomba utelezi, anajivunia kuwa na mimi na ananipenda sana.

Mwezi wa tano mwanzoni mahusiano yangu yakaenda mrama. Ndipo kumkumbuka kisha kumuomba mbususu niichakate. Aliishia kunikwepa na kunipanga tarehe za uongo na asionekane. Ndipo nilipojisemea kuwa "Yametimia" kisha kufanya mambo yangu.

Za chinichini zikasikika zikimtaja yeye kutembea na binamu yake. Hilo picha nililishuhudia baadhi ya script. Roho ikaniuma sana, kwa kuwa mchakataji haumii roho nikasema "Potelea Pote"

Mahusiano yakawa ndo hivyo kama yamekufa hivi. Japo tulikuwa tukionana lakini cha ajabu hakunipatia salamu. Nikasema "Buyu Buyu, kama Mbwai, Mbwai tu"

Leo saa moja nimeshtushwa na mtu nyuma yangu. Kugeuka kumbe ni binti, anasema kaja kuniaga kwa kuwa ana safari ya kwenda mkoa X kuwapeleka wadogo zake likizo. Hivyo kesho kutwa asubuhi ataondoka.

Ndipo kumuuliza kama kesho atakuwepo free, akasema kuwa yupo. Nikamgusia suala la mbususu, hakujibu badala yake akaondoka mbele yangu akiwa kachukia.

Ushauri tafadhari!
☕☕🍞🥯🥑🍌
 
Back
Top Bottom