Huyu binti ni mgonjwa?

Ukimwi ni hatari, atawasaidia wangapi?


 
Hilo ni tukio la kawaida sana, haina haja ya kuomba ushauri hapa JF, jamaa afanye maamuzi mwenyewe, maana yeye ndye anajua ladha ya hicho kicheche, lakini naona kamemchanganya sana.
 
Inaonekana huyu binti ndo ana matatizo,basi inatakiwa akae nae mbali!
 

mwehu, aokote makopo
 

Sijakuelewa!
 
huyo binti mlete kwangu, hapa namfanyia mazoez nije nimpe mambo ya pwani!
 
Jamaa huyo yeye si hataki tena, sasa anashindwa nini kumchana politely kuhusu uhusiano wao? Mwambie mimi nimeshaoa na sipo tayari kuachana na mke kwa sababu yako kwani hata mke akijua na mimi sipo tayari kukuoa, yaani ilikuwa ni tamaa ya ngono tu ndiyo tukado lakini sipo tayari kutema big g kwa karanga za kuonja. Asipomuelewa atakuwa kichwa ngumu.
 

Mi nakushauri bila kujali kama huyo binti anaumwa au la.... ufikishe ujumbe kwa shemeji yetu mtarajiwa ...! kama unahofia kufika straight, basi uandike barua na uweke chini ya mlango wao.... hahahaaa...! Utapata laana duniani, lakini mbinguni baraka...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…