huyu binti ninamngoja

huyu binti ninamngoja

sixgates

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2011
Posts
3,979
Reaction score
1,665
Mariage is a pinacle of all dating and relationships..so natafuta mdada mswetee mzuri wa kudate size ya kati ila awe na akili sana if m bn specfic awe mini genius ,awe master of manipulation,awe na ushawishi,mcheshi..pia awe anaenda na wakat in the sanse tht anacope na tech change, awe mshabiki wa arsenal..mie ni mwanaume (27),naishi jijin wa size ya kati mwembamba..km yupo mdada mwene vigezo nipm BBM pin yako!.
 
mambo ya bbm .com mmmmh mimi nina nokia ya tochi
 
lol, kweni wewe kilaza mpaka utake genius?
 
lol, kweni wewe kilaza mpaka utake genius?

Labda niquestion uelewa wako kusema naitaji tena sio genius(soma uelewe) na mimi kua kilaza kuna uhusiano gan ..demu mkali kukurupuka real means a lot
 
Haya Bwana Getisita. Sasa huyo genius wataka kufungua chuo?
 
Haya Bwana Getisita. Sasa huyo genius wataka kufungua chuo?

Mhh ivi kwa taratibu za jamhuri ya muungano wa tz..ili ufungue chuo requirement ni kuwa na mwanamke genius..?..mie napenda kudate mademu waliofunguka kupita maelezo ndo ligi inakua nzuri
 
Mtu genius anajijuaje ili tujitathmini
 
kha ila hapo kwa mpenzi wa arsenal utakuwa umepata demu mvumilivu maana timu haina ubingwa miaka saba na pia atakuwa anajua kumudu financies kama wenger.
 
Labda niquestion uelewa wako kusema naitaji tena sio genius(soma uelewe) na mimi kua kilaza..demu mkali kukurupuka real means a lot

Hahah mvivu wa kufikiri may be...soma tena hoja zako hapo chini kwenye bold

Mariage is a pinacle of all dating and relationships..so natafuta mdada mswetee mzuri wa kudate size ya kati ila awe na akili sana if m bn specfic awe mini genius ,awe master of manipulation,awe na ushawishi,mcheshi..pia awe anaenda na wakat in the sanse tht anacope na tech change, awe mshabiki wa arsenal..mie ni mwanaume (27),naishi jijin wa size ya kati mwembamba..km yupo mdada mwene vigezo nipm BBM pin yako!.

Anyways best of luck
 
Mtu genius anajijuaje ili tujitathmini

Angalia intelligent quotient (I.Q) yako..pia angalia emotional quotient (I.E) yako..hizi hata ukigoogle zipo softiware nzuri za kupima..mara nyingi ukihits from 60% na kuendelea upo vizuri..hii inaweza kua ngumu ila kibongobongo lazm kama upo serious unajitambua km wew upoje
 
Hahah mvivu wa kufikiri may be...soma tena hoja zako hapo chini kwenye bold



Anyways best of luck

Nimesema mini-genius..ukitaka kumficha kitu mtanzania usiende kukiweka chini ya bahari weka ktk maandishi
 
Mimi ningeweza kuku-pm, lakini avatar yako imenitisha na kunikatisha tamaa. Waweza kuwa mwanga wewe!

Hahahaa ivi avatar yangu dah..ila as umeonesha kuwa muoga itts means a lot
 
Nimesema mini-genius..ukitaka kumficha kitu mtanzania usiende kukiweka chini ya bahari weka ktk maandishi

Unajizonga mwenyewe....haya wasubiri hao mini genius na wenye akili sana waje.
 
kha ila hapo kwa mpenzi wa arsenal utakuwa umepata demu mvumilivu maana timu haina ubingwa miaka saba na pia atakuwa anajua kumudu financies kama wenger.

Yo genius mzabzab..I read an interesting story eti kuwa recruited CIA wanafatilia hadi team unayoshabikia maana pipo tend to behav kutokana na team wanazoshabikia
 
Back
Top Bottom