Haya Bwana Getisita. Sasa huyo genius wataka kufungua chuo?
Labda niquestion uelewa wako kusema naitaji tena sio genius(soma uelewe) na mimi kua kilaza..demu mkali kukurupuka real means a lot
Mariage is a pinacle of all dating and relationships..so natafuta mdada mswetee mzuri wa kudate size ya kati ila awe na akili sana if m bn specfic awe mini genius ,awe master of manipulation,awe na ushawishi,mcheshi..pia awe anaenda na wakat in the sanse tht anacope na tech change, awe mshabiki wa arsenal..mie ni mwanaume (27),naishi jijin wa size ya kati mwembamba..km yupo mdada mwene vigezo nipm BBM pin yako!.
Mtu genius anajijuaje ili tujitathmini
Nimesema mini-genius..ukitaka kumficha kitu mtanzania usiende kukiweka chini ya bahari weka ktk maandishi
kha ila hapo kwa mpenzi wa arsenal utakuwa umepata demu mvumilivu maana timu haina ubingwa miaka saba na pia atakuwa anajua kumudu financies kama wenger.