figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Kwani wewe una miaka mingapi? hujui akikaa kimya ndio kakubali? maana angekuwa hataki angesema hapana. sasa wewe endelea kuzubaa atakuona umezubaa.
Nimetokea kumpenda msichana fulani ambaye kanivutia sana.nikamtongoza akakubali kuwa mpenzi wangu.sasa tatizo nalipata hapa,kila akija getto tunapiga story kama kawaida tunachezeana bila nominenga. lakini ikifika wakati wa ku do nikamuomba tu do hakubali wala hakatai yaani hanijibu ananikodolea macho tu.hapo ndo nashindwa kumuelewa.kukaa kimya ndo amekubali au amekataa?nisaidieni jamani.nampenda sana so sitaki kumuudhi.
Na we bwana
Si umuulize mwambie
Ukimya wako ndio unamaanisha nini??
Chunga sana usije ukamtia akasema umembaka
mpaka yeye asame sawa mbele kwa mbele au
akupe ishara fuluni " body language" mmmhh
kukukodolea haimaanishi kasema "YES" usikute
kapagawa tu mmmhhh
Subiri mpaka ndoa ndo uanze kula tunda,ukimla sasa hivi utamchoka siku si nyingi.Mie nakushauri kama kweli unampenda huyo dada nenda kwao ukajitambulishe kisha upeleke barua ya posa ili umuoe.Sio vizuri jamani kuwachezea mabinti wa watu kisha hamuwaoi.
Mkuu unatuangusha njemba wenzako.mia.
FN huyu ndugu kamaliza kila kitu huhitaji ushauri mwingine THREAD CLOSED.kiukweli hii ndo ilikua koment yangu.
huyu atakua ndo kaanza.
kwa kifupi huyo we mgusetu, atakaa kimya hivyohivyo,
mpapase, atakaa kimya hivyo hivyo, mvue nguo na endelea.............
mwishoe ataongeatu!
We endelea tu kama ulivyoelezwa na Tasia papasa,mvue,mwandae na mcheze sarakasi kama hataki ataongea.mia.hivi huyu duu unavyo ona wewe kakubali au kakataa?nakutegemea kwa ushauri wako.coz ananichanganya.unanishaurije?mia.
acha ushamba mapenzi hayaombwi kama unaomba kazi.....!