Huyu bosi vp


Kwahiyo unataka kumwambia aachane naye??sindiyo??hivi wewe ukiwa unatembea ukaokota pochi ina mihera unapeleka kanisani??au msikitini??au unaenda njia nzima ukitangaza pochi lina pesa la nani??Kwa ushauri wangu kamua mzigo ila kama nimke wa mtu achana naye!!Au piga mara moja tambaa!
 

Ndio aachane naye atamletea matatizo. Kosa si kufanya kosa bali kurudia kosa, alikosea alipombusu mara ya kwanza so asirudie kosa.
Nikiokota pesa nitaangalia ziko kwenye mazingira gani kwanza kabla ya kuziokota zisije kuwa za moto
 


Aisee!@#$%????
hapo kwenye redi inaonyesha shuguli ilikuwa pevu sana, kiasi mpaka ukatulia, afu UKALA mara ya pili,!!! ukamaliza afu akakuaga ukamuitia BAJAJI.... hahah haa em ueleze uma, ulitumia masaa mangap?

Kwa ushauri wangu, jitaidi kutorudiana nae tena, dhambi ya uzinzi ni mbaya kuisahau ni kazi sana na kadiri unavyo muona ona mara kwa mara unaeza muomba tena.
Kafanyiwe maombi kituo cha karibu
 
nawashukuru wanajamii..naomba mnivumilie kidogo then nitalianika movie linavyoendelea! we have a lot in this world du!
 

Makofi kwa mtoto mwenzenu.
Hadithi hii kakufundisha nani? Inatufundisha nini?
 
mabosi wengine bwana adabu hawana kabisa. achana nae heshima ya kazi kutakuwa hakuna tena.
 

Ukitaka kula nguruwe chagua aliyenono, na heri shari kamili kuliko nusu shari na bora lawama kuliko fedheha....Hakikisha unamla tigo huyo mama!!
 
ukila boss wako, marafiki wa kike kukutembelea ofsini mwiko! pia kashapajua nyumbani unakazi nae mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…