Kaka yangu wala usijaribu kulala naye, kwanza heshima ya kazi itashuka pili atakuwa anawafanyia vituko wasichan ambao uko nao karibu akifikiri mna uhusiano mwisho wa siku kazi zitakuwa hazifanyiki na wote mtaonekana watoto mmeshindwa kucontrol hisia zenu ofisini
Kwahiyo unataka kumwambia aachane naye??sindiyo??hivi wewe ukiwa unatembea ukaokota pochi ina mihera unapeleka kanisani??au msikitini??au unaenda njia nzima ukitangaza pochi lina pesa la nani??Kwa ushauri wangu kamua mzigo ila kama nimke wa mtu achana naye!!Au piga mara moja tambaa!
I hope mnaendelea vizuri wana JF
Mwenzenu nafikiria niondokaje leo hapa ofisini..jana jioni wakati natoka bosi wangu aliniomba lifti na alipoingia akaniambia leo lazima nikamuoneshe nyumbani kwangu, ofcz alikua anaongea kama ni utani flani nami nikajua ndio ivo
kumbe bana alimaanisha, mama wa watu akakomaa kwenye gari mpaka mitaa ya home mitaa ya kunduchi hiyo ni kama mida ya saa moja na nusu, tunafika getini kabla sijapiga horn eti anadai anataka kushuka, nilipomuuliza mbona unataka kushuka huku nje akajibu yeye alikuja kwa ajili ya kitu kimoja tu...eti nimpe kiss
tukazinguana pale lakini kwa sababu ilikua maeneo ya home ikabidi mzee nimpe hiyo kiss ili aondoke zake, akataka tena nikala mara ya pili nikatulia then akaniambia anataka kuondoka bahati nzuri nina namba ya jamaa wa bajaji nikampigia akaja kumchukua!
sasa leo hapa ndio nafikiria how should i go..kuna kila dalili kuibukiwa tena!
No usifanye na boss wako, hauta enjoy kaziyako.
anaweka zengwe ofisini hadi jamaa anasalimu amri au kibarua chaota nyasi!!:tongue:
mkuu usikubali unaweza kubakwa
I hope mnaendelea vizuri wana JF
Mwenzenu nafikiria niondokaje leo hapa ofisini..jana jioni wakati natoka bosi wangu aliniomba lifti na alipoingia akaniambia leo lazima nikamuoneshe nyumbani kwangu, ofcz alikua anaongea kama ni utani flani nami nikajua ndio ivo
kumbe bana alimaanisha, mama wa watu akakomaa kwenye gari mpaka mitaa ya home mitaa ya kunduchi hiyo ni kama mida ya saa moja na nusu, tunafika getini kabla sijapiga horn eti anadai anataka kushuka, nilipomuuliza mbona unataka kushuka huku nje akajibu yeye alikuja kwa ajili ya kitu kimoja tu...eti nimpe kiss
tukazinguana pale lakini kwa sababu ilikua maeneo ya home ikabidi mzee nimpe hiyo kiss ili aondoke zake, akataka tena nikala mara ya pili nikatulia then akaniambia anataka kuondoka bahati nzuri nina namba ya jamaa wa bajaji nikampigia akaja kumchukua!
sasa leo hapa ndio nafikiria how should i go..kuna kila dalili kuibukiwa tena!
Muite mkeo aje akuchukue ofisini.... vinginevyo, nenda naye hadi sebuleni na ufanye utambulisho.....
I hope mnaendelea vizuri wana JF
Mwenzenu nafikiria niondokaje leo hapa ofisini..jana jioni wakati natoka bosi wangu aliniomba lifti na alipoingia akaniambia leo lazima nikamuoneshe nyumbani kwangu, ofcz alikua anaongea kama ni utani flani nami nikajua ndio ivo
kumbe bana alimaanisha, mama wa watu akakomaa kwenye gari mpaka mitaa ya home mitaa ya kunduchi hiyo ni kama mida ya saa moja na nusu, tunafika getini kabla sijapiga horn eti anadai anataka kushuka, nilipomuuliza mbona unataka kushuka huku nje akajibu yeye alikuja kwa ajili ya kitu kimoja tu...eti nimpe kiss
tukazinguana pale lakini kwa sababu ilikua maeneo ya home ikabidi mzee nimpe hiyo kiss ili aondoke zake, akataka tena nikala mara ya pili nikatulia then akaniambia anataka kuondoka bahati nzuri nina namba ya jamaa wa bajaji nikampigia akaja kumchukua!
sasa leo hapa ndio nafikiria how should i go..kuna kila dalili kuibukiwa tena!
si ndo inakuwa nzuri zaidi..... mi favour ya kufikia