Huyu Bwana Mdogo Hayuko Sawa Mahali.

Angalia kwa makini hii video utajua kuna kitu hakiko sawa, wataalamu wa saikolojia mtatusaidia nini kimeanza kumsibu huyu icon wetu.

View attachment 1161022
Kwanza acha kuiga mtoa mada kingine kwa wadau wanaofatilia muziki inajukana kabisa ipo hivo kwa diamond cos anafanya show nyingi alafu ambazo zipo karibu karibu mfano Hadi Sasa hiv jamaa ana show 27 na hapo Jana tu katoka kufanya show Uganda na jumapili atafanya show mwanza muda kesho kutwa yake anashow ya ulaya kwa maana hiyo baada tu kumaliza show ya mwanza anatakiwa apande ndege kwenda uingereza ikizingatiwa pia before ya show lazima uwe umefanya mazoezi kutokana na hivyo lazima jamaa apate uchovu.Hizo propaganda za mange huku jamiiforum hazina nafasi huku ni facts tu ndo maana umeona hata kwenye social network hiyo propaganda hajaijapewa nafasi imeishia kwa mange pekee.
 
Hujakosea mkuu upo mulemule ndani Ya box atakuwa alivuta kitu cha Malawi.
Mzee baba diamond Hana hivyo vitu diamond ni mchapakazi hiyo inafahamika hapo akiwa anaenda kuperform jukwani ndo maana concentration yake haikuwa kwa huyo mtangazaji + ulichovu wa show nyingi anazopata ndo maana hii issue imekosa attention cos inajulikana kabisa kwa wadau wanaofatilia muziki sababu iliyofanya itokee hivyo na nimeandika kabisa ila km unataka kujifurahisha amini unachoamini wewe.
 
Amejibu kama celebrities wengi wA bongo wanavyojibu.

Anajibu huku anatamani aulizwe next project anapoona huulizi anachomekea.

Hilo wenge siyo uchovu. uchovu haukufanyi uwe easily distracted. pengine alikua na haraka na kitu kingine.
 

Kila mtu anatoa maoni yake sipingani Pia na maoni yako,Ila Kama aliweza kukubali kuhojiwa ina Maana kuwa alikuwa na muda wa kutosha kufanya mahojiano.
Clip inapo anza mwanzoni kabisa alikuwa ana anekana kabisa kuwa ana WENGE BCBG WENGE MUSIC lile wenge alilo kuwa nalo ukiliangalia kwa jicho la tatu siyo wenge la stress.
Angalia video kwa mara nyengine utagundua kitu.
 
Amejibu kama celebrities wengi wA bongo wanavyojibu.

Anajibu huku anatamani aulizwe next project anapoona huulizi anachomekea.

Hilo wenge siyo uchovu. uchovu haukufanyi uwe easily distracted. pengine alikua na haraka na kitu kingine.
Hapo alikuwa anaelekea kuperform jukwaani na hii ilikuwa kwenye show ya Tabora ndo maana hata concentration yake haikuwa kwa mtangazaji alikuwa anawaza jukwaani mtoa mada wakati anaandika hakuwa na information yakutosha na anashokiongea na akumbuke hii ni Jamiiforum na Ina watu wenye great thinker hapa propaganda na uzushi hauna nafasi
 
jamaa itakuwa wame m-clone. clones wanatabia kama za jamaa alizozionyesha kwenye interview.

mafanikio yana siri nyingi sana.
 
Hiyo interview haikupanga huyo ni mtangazaji wa online alimfuata diamond backstage before ya diamond ajapanda jukwaani tena hiyo ilikuwa wasafi festival iliyofanyika tabora na diamond hakumkatalia akafanya nae interview na halipo maliza interview ndo akapanda jukwaani kwa hiyo mzee uache uzushi watu tunafuatilia mziki Sana hiv ujiulizi tokea mangekimambi atoe hiyo propaganda imeshindwa kutrend ujui ni kwann?kila kitu kipo wazi Sasa hiv usilamishe mlima kupanda maji.
 
jamaa itakuwa wame m-clone. clones wanatabia kama za jamaa alizozionyesha kwenye interview.

mafanikio yana siri nyingi sana.
Mzee baba mbona mnafosi vitu ambavyo havipo huyo mtangazaji alikuwa anafanyia diamond interview before diamond ajapanda jukwaani kwenye wasafi festival iliyofanyika Tabora ndomaana hata concentration ya diamond haikuwa kwa mtangazaji ilikuwa jukwaani.Ndo maana hii imeshindwa kutrend kabisa ukweli unajulikana na ilikuwa live wasafitv na YouTube watu wengi wameona mtoa mada kaandika thread Bila yakupata information kwanza ndo maana ameongea vitu havipo kabisa.
 
Waganga kiinyeji na waunganisha matukio wanaendelea kuzusha.Dogo siku nne mfululizo yupo bizo Ug alikuwa na show plus after party,kafika Mwanza jana akaenda kumsuport Romy Jones kwenye show yake ya jana Mwanza,leo ana show Kirumba lazima uchoke tu ,bila kusahau kesho ana show Burundi jiji la Bujumbura.

Cha msingi kabla ya show zake inabidi amwone mshauri wa maswala ya afya,maanake show zake zimefuatana mno hazimpi nafasi ya kupumzika.
 

Mkuu usimaindi sana kwakuwa hzi ni fikra huru nimeandika na sijaandika kwa sababu mange aliandika nini kuhusu jamaa Ila nimeandika kwa mtazamo wangu na kuhusu swala la mahojiano kusema alikuwa hajajiandaa ni uongoo Maana anaonekana amekaa kabisa chini na kuna waandishi zaidi Ya mmoja na mic zinazoonekana ni zaidi Ya moja.
 
Na hapo umeziacha zile za Kahama, Simiyu na Muleba ambazo zote ziliongozana! Na ukiangalia ile ratiba yake, man, anahatarisha sana afya yake! Halafu ilibidi nicheke kwa masikitiko baada ya kuona ameweka namba akisema "For more bookings....!" Ukiangalia, hakuna hata pa kupenyeza schedule nyingine hasa ukizingatia shows zimeongozana na zinafanyika nchi tofauti tofauti!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…