Mtanzania wa USA
Member
- Jul 21, 2024
- 11
- 14
Mnaona wana jamvi, Na team ya JamiiForum hebu angalieni hili swala la huyu bwana Toka 2010 amekuwa akiwapiga za uso baadhi ya Tanzania kwa kuwapiga na uhuni wa utaperi wa uwekezaji hali anaacha familia nyingi za Kitanzania zikiumia na hakuna mtu wa kufichua hili swala.
Jamiiforum kimnya
TBS kimnya
ITV kimnya wapi wananchi watafumbukiwa macho na hili jambazi la haki.
Tazama hizi ni moja ya mikataba ya zaidi ya kinua mgongo cha mtanzania ambaye ameungizwa chaka na huyu bwana akimwelekeza awekeze hizo pesa za mafao zaidi ya 2.2M na akiwahidi kuwa baada ya kuwekeza hizo pesa wataanza kupata 30,000 kwa siku na mkataba kama unavyoona wanaandikishana baada ya hapo akawaambia hiyo pesa hawezi kulipwa sababu kwamba Tanzania nzima yeye anaongea na wakubwa yeye kama mstafu hana haki ya kumdai hata iwe mahakama yoyote Tanzania kiujumla mzee huyu pindi anasimulia alikuwa nalia sana ukitazama nia yake kubwa ilikuwa kupata angalau hiyo 30,000 kwa siku ili kusogesha maisha yake hadi sasa tunaongea analala njaa zaidi ya kudra za Mungu why huyu jamaa hana huruma kabisa !!!
WiTO: Napendekeza tuugane kwenye hili kusaidia watu ambao wanaumiza hata walezi wetu kisa kujinufaisha kwa njia ya utaperi usio na utu na wema huyu mzee anaweza kufa kwq msogo wa mawazo tufanye ingekuwa mzazi wako usingemcheka sababu jamaa ametumia ushawishi mkubwa wa matangazo na projo za kuongea kiasi kwamba hata wewe baadaye unaweza kuingua chakaMnaona wana jamvi, Na team ya JamiiForum hebu angalieni hili swala la huyu bwana Toka 2010 amekuwa akiwapiga za uso baadhi ya Tanzania kwa kuwapiga na uhuni wa utaperi wa uwekezaji hali anaacha familia nyingi za Kitanzania zikiumia na hakuna mtu wa kufichua hili swala.
kubwa ilikuwa kupata angalau hiyo 30,000 kwa siku ili kusogesha maisha yake hadi sasa tunaongea analala njaa zaidi ya kudra za Mungu why huyu jamaa hana huruma kabisa.
Jamiiforum kimnya
TBS kimnya
ITV kimnya wapi wananchi watafumbukiwa macho na hili jambazi la haki.
Tazama hizi ni moja ya mikataba ya zaidi ya kinua mgongo cha mtanzania ambaye ameungizwa chaka na huyu bwana akimwelekeza awekeze hizo pesa za mafao zaidi ya 2.2M na akiwahidi kuwa baada ya kuwekeza hizo pesa wataanza kupata 30,000 kwa siku na mkataba kama unavyoona wanaandikishana baada ya hapo akawaambia hiyo pesa hawezi kulipwa sababu kwamba Tanzania nzima yeye anaongea na wakubwa yeye kama mstafu hana haki ya kumdai hata iwe mahakama yoyote Tanzania kiujumla mzee huyu pindi anasimulia alikuwa nalia sana ukitazama nia yake kubwa ilikuwa kupata angalau hiyo 30,000 kwa siku ili kusogesha maisha yake hadi sasa tunaongea analala njaa zaidi ya kudra za Mungu why huyu jamaa hana huruma kabisa !!!
WiTO: Napendekeza tuugane kwenye hili kusaidia watu ambao wanaumiza hata walezi wetu kisa kujinufaisha kwa njia ya utaperi usio na utu na wema huyu mzee anaweza kufa kwq msogo wa mawazo tufanye ingekuwa mzazi wako usingemcheka sababu jamaa ametumia ushawishi mkubwa wa matangazo na projo za kuongea kiasi kwamba hata wewe baadaye unaweza kuingua chakaMnaona wana jamvi, Na team ya JamiiForum hebu angalieni hili swala la huyu bwana Toka 2010 amekuwa akiwapiga za uso baadhi ya Tanzania kwa kuwapiga na uhuni wa utaperi wa uwekezaji hali anaacha familia nyingi za Kitanzania zikiumia na hakuna mtu wa kufichua hili swala.
kubwa ilikuwa kupata angalau hiyo 30,000 kwa siku ili kusogesha maisha yake hadi sasa tunaongea analala njaa zaidi ya kudra za Mungu why huyu jamaa hana huruma kabisa.