Huyu Chris Lukosi ni Content, unajua ktk dunia kuna heroes lakini hawasifiwi

Huyu Chris Lukosi ni Content, unajua ktk dunia kuna heroes lakini hawasifiwi

blogger

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2012
Posts
12,112
Reaction score
15,060

Mwenye hii Bajaji simfahamu, Lakini kwa Upendo wake ameamua tu kuitangaza kampuni yetu bila malipo na yuko very Proud

Najua anafuatilia page yangu. Namuomba aende Bunju leo akachukue shs 500,000 , fridge moja ya gheto na Jiko la umeme ili anapopika msosi awe anaendelea kua proud kama mimi

Asande sana ulienitumia hii video na pia Asande sana Dogo kwa Upendo ulioonyesha kwa KC TEAM

WE ARE PROOOOUD…..!

My Take.
Kuna Unsung heroes. Huyu Mwamba hakika anapambana sana. Na hela yake ni ya Jasho na Damu.

Hana budi kupewa heshima.
 
Ni branding yake mwenyewe ,hapo anacheza na akili zenu, hapo bajaji wengi watabandika mabango yake bure wakitaraji kupewa pesa na vitu

Automatically watakuwa wamemtangazia biashara bure kabisa bila kulipia kitu

Biashara Ina Siri nzito
Yes is a gem of psychology
 
Miaka kadhaa nyuma huyu jamaa alikuwa anatukanwa na kukashifiwa humu kama marehemu Lemutuz.
That's true. Nakumbuka....

Wanasema eti alikulaga rambirambi...

Anyway.. that's the past.
 

Anafanya kazi katika Mazingira Magumu sana.... Lakini Anawakomboa Watanzania Weengiiii...
 
ec64b6587362d9f4240129699e0f90ca.jpg
 
Back
Top Bottom