FatherOfAllSnipers
JF-Expert Member
- Mar 13, 2019
- 1,692
- 4,442
teh teh!Mchumba tu yule
Mkuu hebu andika hoja inayojieleza.Jamaa alikuwa live kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, katema madini ya kutosha.
Yote tisa, kumi ni kuhusu "Goma lake jipya" ambalo ndani yake imekaa miamba kama yeye, "AY pamoja na Mwana FA"
Dude linaitwa "Namvisha Pete"
Huyo jamaa ni Jini!
Familia yake iko Uswidi, bila shaka hata uraia.Vp mmeshampatia uraia wa tz
Ova
Hahahaaaa
Sisi ndo wabongo unasubir watch out part 2 kumbe ndo THE END
Mondi ameingia vipi hapa Chief, hapa tunazungumza kuhusu mziki mzuri, siyo ligi.Diamond all the way.... Kakamata industry nzimaa.... Tangu mwaka umeanza...
Mngetulia tu kwanza..
Jamaa alikuwa live kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, katema madini ya kutosha.
Yote tisa, kumi ni kuhusu "Goma lake jipya" ambalo ndani yake imekaa miamba kama yeye, "AY pamoja na Mwana FA"
Dude linaitwa "Namvisha Pete"
Huyo jamaa ni Jini!