tuwekeeni basi na kale ka picha tuendelee kuburudika
aramba aramba aamm aaaamm
na hawa
Hawa ni vicheche tu, wanaruka bila mpabgilio - hawamfikii yule wa EATVna hawa
yori yori mmmh
kweli ni burudani ndani ya roho
FL bana, hayo machura yako yanaruka hovyohovyona hawa
Sasa umkute yule wa EATV anacheza arambaaaa arambaaaa aaaaaamu aaaamu............ utachokaLadyyyy hao chura wako hawana lolote, wanrukaruka tu hebu wafunze kukata mauno kama yule wa EATV bwana, huyo mmoja ni mmasai nini mbona hivyo?