Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeniwahi nilichotaka kupost...!Hili dogo linatisha! ukimuangalia kwa haraka haraka urefu wa miguu yake kama nkwazi.
Huwezi kabisa kumtofautisha na mshambuliaji wa man city earling hallaand! derby ije haraka!
Hawa madogo ndio tunawataka taifa stars!
huyu ana 23yrs anamzidi kidogo sana Onyango.Ana umri wa miaka mingapi?
Anasema 18 lakni ukimwangalia ni zaidi ya 30Ana umri wa miaka mingapi?
Akisimama yeye na peter banda kwa umri wa peter banda huyo dogo still young ila sasa peter banda anaokana mdogo kwa mzizeAnasema 18 lakni ukimwangalia ni zaidi ya 30
Lakini hata halland kibongobongo anaonekana mzee[emoji23][emoji23]Akisimama yeye na peter banda kwa umri wa peter banda huyo dogo still young ila sasa peter banda anaokana mdogo kwa mzize
Bongo hii
Umeongea point, akina Dube,Mayele wanakutana nayo sasaKama una namba za dogo mkumbushe akajiweke sawa mapema kulikuwa na kina miraji athuman madenge pamoja na Rashid juma wakati huo yanga kuna paul godfrey boxer na balama ila kilichowakuta kila mtu anakijua yaani ushirikina unarudisha sana nyuma maendeleo ya soka letu.
Kuna jamaa yangu nilikutana nae hapa Iringa anasema dogo ni kijebaAnasema 18 lakni ukimwangalia ni zaidi ya 30
Anapaka carolight!??
Kafake umri wake?Kuna jamaa yangu nilikutana hapa Iringa anasema dogo ni kijeba
Mtoto wake wa Kwanza miaka 7Kafake umri wake?