Huyu coach wa Simba Fadlu Davids na viongozi wataikwamisha project ya Simba, wana wenge sana

Huyu coach wa Simba Fadlu Davids na viongozi wataikwamisha project ya Simba, wana wenge sana

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Nilivomuona sio mtulivu. Au labda hajawahi kuwa coach mkuu popote alikuwa msaidizi huko kote alikotoka, hivi Simba hawakupata cv za coach wa maana Kwa ajili ya project yao?

Coach amekuja amefanya pre season na team, wamewaona mastriker wote Mukwala na Fred na akawa ana sifia ati ana team nzuri.

Hivi kwanini Simba walimwacha Babakar Sarr na Kanoute wakamleta Okajepha na Deborah 😆
Sana amecheza mechi mbili za ushindani za Community Shield 🛡️ tayari ashamkatia tamaa Mukwala
Hata kabla league haijaanza.

Soma Pia:
Simba kabla ya kuanza kujua ubora wa kikosi chenu Fukuzeni kocha Fadlu David. Huyu ata aje Messi na Mbape hatutoboi

Kipandi Yanga wanamsajili Mayele alicheza mechi 6 bila bao akaja kuwaka kuanzia mechi ya 7. Sasa kwanini coach Fadlu hataki kuwa na subra.

Haya huyu striker anakuja Kwa msimu mzima ana goli 1 na hajafanya pre season na team unadhani atafanya maajabu Gani?

Kibu aliwanyia uhuni Simba lakini Bado viongozi wanalazimisha acheze hana hata pre season alikuwa disco huko ughaibuni. Kwa wengi hili la coach na Viongozi wa Simba, hii team hata top 4 hatakuwepo.
 
1723463102884.jpg
watajuana wenyewe huko
 
Nilivomuona sio mtulivu.
Au labda hajawahi kuwa coach mkuu popote alikuwa msaidizi huko kote alikotoka, hivi Simba hawakupata cv za coach wa maana Kwa ajili ya project yao
Coach amekuja amefanya pre season na team, wamewaona mastriker wote MUKWALA- na Fred na akawa ana sifia ati ana team nzuri.
Hivi kwanini Simba walimwacha Babakar sarr na Kanoute wakamleta Okajepha na Deborah 😆
Sana amecheza mechi mbili za ushindani za community shield 🛡️ tayari ashamkatia tamaa MUKWALA-.
Hata kabla league haijaanza.

Kipandi Yanga wanamsajili Mayele alicheza mechi 6 bila bao akaja kuwaka kuanzia mechi ya 7. Sasa kwanini coach Fadlu hataki kuwa na subra
Haya huyu striker anakuja Kwa msimu mzima ana goli 1 na hajafanya pre season na team unadhani atafanya maajabu Gani?
Kibu aliwanyia uhuni Simba lakini Bado viongozi wanalazimisha acheze hana hata pre season alikuwa disco huko ughaibuni
Kwa wengi hili la coach na viongozi wa Simba, hii team hata top 4 hatakuwepo
Shida ya Simba inaanzia kwa viongozi wao alafu inakuja kwa wanachama wao na mashabiki, viongozi wao wanajua sana kucheza na akili za mbumbumbu na wao Wala awajashtuka!
 
Naheshimu mawazo yako mkuu
Pamoja sana, ukingalia mechi hizi mbii za ngao ya jamii timu imecheza vizuri kwa namna yake na sehemu ambayo bado inampa tabu kocha ni eneo la ushambuliaji, naamini angepewa timu kabla asajili mwenyewe angepata anachokitaka sokoni ila ndio hivyo sasa hana namna.
 
Nilivomuona sio mtulivu.
Au labda hajawahi kuwa coach mkuu popote alikuwa msaidizi huko kote alikotoka, hivi Simba hawakupata cv za coach wa maana Kwa ajili ya project yao
Coach amekuja amefanya pre season na team, wamewaona mastriker wote MUKWALA- na Fred na akawa ana sifia ati ana team nzuri.
Hivi kwanini Simba walimwacha Babakar sarr na Kanoute wakamleta Okajepha na Deborah 😆
Sana amecheza mechi mbili za ushindani za community shield 🛡️ tayari ashamkatia tamaa MUKWALA-.
Hata kabla league haijaanza.

Kipandi Yanga wanamsajili Mayele alicheza mechi 6 bila bao akaja kuwaka kuanzia mechi ya 7. Sasa kwanini coach Fadlu hataki kuwa na subra
Haya huyu striker anakuja Kwa msimu mzima ana goli 1 na hajafanya pre season na team unadhani atafanya maajabu Gani?
Kibu aliwanyia uhuni Simba lakini Bado viongozi wanalazimisha acheze hana hata pre season alikuwa disco huko ughaibuni
Kwa wengi hili la coach na viongozi wa Simba, hii team hata top 4 hatakuwepo
Nani KAKWAMBIA kuwa kocha kamkatia tamaa Mukwala ?? Acheni porojo zisizo za msingi , kocha yoyote kwenye timu huitaji wachezaji angalau wawili wanaoweza mu offer kitu anachoitaji sasa pale Simba ukimtoa Mukwala hakuna striker yoyote yule mwenye forcing sprit , kwahyo lengo kuu la kocha ni kutaka aongezewe mtu ambae atasaidiana Mukwala maan kuna Leo na kesho Mukwala atapata majeruh nani atasaidia Pale mbele ,...
Yote Kwa yote Fred ndo kakatiwa tamaa sio Mukwala.
 
Hajamkatia tamaa mukwala. Amemkatia tamaa fredy ndio mana anamweka chaguo la3. Mukwala yupo sana Simba na atawanyoosha sana.
 
Swali fikirishi nani ametengeza project ya simba, yaani unapokuwa na project zama hizi lazima uwe na andiko, (mpango wa biashara),, je hiyo project mmeiona?, Project za midomoni hazitakiwi kwa zama hizi, huwezi kufanikiwa kwakutumia project za mdomoni hata kama una pesa nyingi kwa maana huwezi kufanya marekebisho
 
Mukwala hakuna striker pale Ahoua naye anakimbiakimbia tu hovyo uwanjani Mutale ni saido aliyezubaa bora hata saido.Cha msingi Ong bak aondoke na Mo atuachie timu yetu
Je simba hazijauzwa Kwa mo ? Na kama ni kweli imeuzwa anawaachiaje mali yake
 
Mayele alifunga ya mechi yake ya kwanza tu, Ngao ya jamii dhidi ya Simba.
 
Back
Top Bottom