Huyu Comedian wa Kimarekani ana maana gani kutumia Picha hii.

Huyu Comedian wa Kimarekani ana maana gani kutumia Picha hii.

kadoda11

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
21,453
Reaction score
20,746
nadhani hii ni jokes fulani ila sijaelewa hicho kingereza chake. anamainisha nini?.

nimeishia darasa la saba na nina uelewa mdogo sana wa lugha kingereza, wale magwiji wa lugha hii mtusaidie kutafasiri ili kama kamkebehi rais wetu kipenzi na mtukufu sana twende tukavamie account yake ya instagram na kuliamsha dude mpaka ashushe post... hata kwa broken english. [emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12]
Screenshot_2018-10-24-15-57-17-201_com.instagram.android.jpeg
Screenshot_2018-10-24-15-56-24-613_com.instagram.android.jpeg
 
Back
Top Bottom