Huyu Corazon anachofanya siyo kabisa!!!

don88

Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
53
Reaction score
84
MWANAMITINDO mwenye shepu ‘tata’ Corazon Kwamboka amechafuka mtandaoni mara baada ya kutupia picha ya nusu utupu akiwa na Mzungu anayedaiwa kuwa ni mchumba wake.

Corazon ambaye pia ni mwanasheria nchini Kenya, aliweka picha hiyo ikimuonesha akiwa kifua wazi na Mzungu huyo huku akiwa ameshikiliwa kifua chake.

“Mwendo wa ufukweni,” aliandika kwenye ukurasa wake wa Instagram.

Kutokana na picha hiyo, Corazon alipokea matusi mfululizo huku wengine wakimsema vibaya Mzungu wake kwa kitendo cha kumshikilia vibaya kifuani tena hadharani.

 
Sawa; Sasa wewe umetuletea huku siye ambao hatujui huko insta?? Tumeona, tumejua kuwa mzungu kachanganyikiwa kwa hayo maparachichi ya kikwetu. Pole zake, hao mwisho wao ni zile picha za ubayani tu. Hayo madogo, binti angelikufunulia moyo wake kukueleza maswahibu anayoyapata kwa mzungu, ungeona hizo picha ni cha mtoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…