Pre GE2025 Huyu D Voice alianza vizuri tu ila Wasafi washampeleka kwenye uchawa. Yaani Rais kuwa photogenic kidogo tu watu washaingia studio!

Pre GE2025 Huyu D Voice alianza vizuri tu ila Wasafi washampeleka kwenye uchawa. Yaani Rais kuwa photogenic kidogo tu watu washaingia studio!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Yaani Rais kupiga picha tu, chawa washaingia studio kutengeneza nyimbo out of that picture.

Huyu D Voice ndio alikuwa the last standing artist hapo Wasafi bila viashiria vya chawa ila naona nae kashakuwa chawa wa mama.

Yaani Rais kuwa photogenic kidogo tu watu mshaingia studio kutunga nyimbo kumsifia.

Inasikitisha na kuhuzunisha sana!

 
Wakuu,

Yaani Rais kupiga picha tu, chawa washaingia studio kutengeneza nyimbo out of that picture.

Huyu D Voice ndio alikuwa the last standing artist hapo Wasafi bila viashiria vya chawa ila naona nae kashakuwa chawa wa mama.

Yaani Rais kuwa photogenic kidogo tu watu mshaingia studio kutunga nyimbo kumsifia.

Inasikitisha na kuhuzunisha sana!

Ushenzi mtupu, huyu naye tunapaswa tumjadiri humu?
 
Back
Top Bottom