Huyu Dada amewakilisha wanawake Asilimia 99

Huyu Dada amewakilisha wanawake Asilimia 99

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Wakuu!

Bila kupoteza muda

Screenshot_2022-04-26-18-12-00-47_f598e1360c96b5a5aa16536c303cff92.jpg
 
Nikupe sir, ukimwona mwanamke kakuvutia basi ujue ana matunzo. Matunzo yenyewe ni pamoja na hela ya kusuka, kununua mafuta, kuvaa vizuri nguo za kumependeza, kununua perfume, anahakikisha anakula anashiba vizuri nk. Sasa wewe unataka kumtumia mwanamke unavyotaka na pili unataka umtumie bure umchakaze, si kweli. .

Mie binafsi sijawahi ombwa hela na mke wangu tangu uchumba kwa miaka nane mpaka nimemuoa. Kifupi nilikuwa nahakikisha anapata kila anachohitaji ili nimfurahie. Kuna mda hata nikimpa hela akigoma nilikuwa namwekea kwenye pochi. Voacha nilikuwa namuwekea kwenye cover la simu. Huduma lazima
😛
 
Back
Top Bottom