π π π π πpole sanaaaa mkuu wameambiana hao sikuiz ukiomba namba tuu basi matatizo yote ya ukoo unahamishiwa uyatatueKuna dada mmoja hapa mtaani kuna grocery jirani uwa naenda kupata kinywaji mara nitokapo katika miangaiko yangu sasa kuna siku alikuja pale kumtembelea rafiki yake nilipomuona nikatokea kumkubali kwa jinsi alivyo nikamuita nikaongea nae akanipa namba tukaendelea kuwasiliana
Shida ndio zikaanzia apa maana anaanza kunitangazia matatizo kibao mara anaumwa, simu yake kioo kimepasuka, mara hana nauli ya kwenda mjini, ajanywa chai. Hapo bado sijapiga papuchi nikikaa kimya kidogo bila kumjibu limeshakua kosa mbona aunijbu je nikimla si ndio atataka nimuhudumie kila kitu.
Tuone picha ya huyo dada kwanzaKuna dada mmoja hapa mtaani kuna grocery jirani uwa naenda kupata kinywaji mara nitokapo katika miangaiko yangu sasa kuna siku alikuja pale kumtembelea rafiki yake nilipomuona nikatokea kumkubali kwa jinsi alivyo nikamuita nikaongea nae akanipa namba tukaendelea kuwasiliana
Shida ndio zikaanzia apa maana anaanza kunitangazia matatizo kibao mara anaumwa, simu yake kioo kimepasuka, mara hana nauli ya kwenda mjini, ajanywa chai. Hapo bado sijapiga papuchi nikikaa kimya kidogo bila kumjibu limeshakua kosa mbona aunijbu je nikimla si ndio atataka nimuhudumie kila kitu.
Mkuu madwmu wengi wajinga sana, ukichukua namba anageuka kuwa yatima, anauguza, anajigeuza mlipa ada za wadogo zake, mara kodi imeisha mara hajala.Kuna dada mmoja hapa mtaani kuna grocery jirani uwa naenda kupata kinywaji mara nitokapo katika miangaiko yangu sasa kuna siku alikuja pale kumtembelea rafiki yake nilipomuona nikatokea kumkubali kwa jinsi alivyo nikamuita nikaongea nae akanipa namba tukaendelea kuwasiliana
Shida ndio zikaanzia apa maana anaanza kunitangazia matatizo kibao mara anaumwa, simu yake kioo kimepasuka, mara hana nauli ya kwenda mjini, ajanywa chai. Hapo bado sijapiga papuchi nikikaa kimya kidogo bila kumjibu limeshakua kosa mbona aunijbu je nikimla si ndio atataka nimuhudumie kila kitu.
Temana nayeye. Au jipigie ukimbie mapema hapo hakuna kudumu. Ukidumu unadumishwa kuchunwa una uchunwa mpaka uuze boxersKuna dada mmoja hapa mtaani kuna grocery jirani uwa naenda kupata kinywaji mara nitokapo katika miangaiko yangu sasa kuna siku alikuja pale kumtembelea rafiki yake nilipomuona nikatokea kumkubali kwa jinsi alivyo nikamuita nikaongea nae akanipa namba tukaendelea kuwasiliana
Shida ndio zikaanzia apa maana anaanza kunitangazia matatizo kibao mara anaumwa, simu yake kioo kimepasuka, mara hana nauli ya kwenda mjini, ajanywa chai. Hapo bado sijapiga papuchi nikikaa kimya kidogo bila kumjibu limeshakua kosa mbona aunijbu je nikimla si ndio atataka nimuhudumie kila kitu.
Matatizo mengine ni ya kujitakia halafu tunaishia kumsingizia Muumba.
Mkatie mawasiliano, hana faida huyo