Huyu dada kaja arusini kumjaribu bwana harusi ama??wafanyakazi wa tsn tusaidiane??

wachaga wanasema apaaaaaaawoooooooooooomii samahanini kama nimekosea
 

Umefunika maneno mengi sana hapa nilipo bold.....dadavua tafadhali:embarrassed:
 
Teh teh teh!!unajua suala la uzuri ni mtazamo tu wa mtu!wazungu wanasema "Beauty is in the eyes of beholder"
Mimi nampa alama kama ifuatavyo:


Umbo - 71%
Usafiri - -70%
Nywele - -85%
Viatu - -42%
Kivazi - 37%
Handbag - 58%

Ikiwa si za maiti!!
 


Halafu wale waliokuwepo kwenye hiyo sherehe wanasema eti hicho kimini ilikuwa tisa, kumi ni kwamba hata kufuli alikuwa hajavaa! kaaaazi kwelikweli!
 
Dada amekomaa hivyo atamtega nani? Kama mnapenda kukisia mambo basi muwe karibu na ukweli. My guess ni kwamba huyo dada alikuwa anatafuta mtu wa ku-impress tu though imekuwa the hard way namna hiyo kwa sababu mbinu zingine atakuwa amemaliza ikiwa ni pamoja na kubadilisha wadau!!
 
halafu wale waliokuwepo kwenye hiyo sherehe wanasema eti hicho kimini ilikuwa tisa, kumi ni kwamba hata kufuli alikuwa hajavaa! Kaaaazi kwelikweli!

dah!!!! Kumbe haina haja ya kugonga mlango unapita moja kwa moja
 
haha haha stak mieeeeeeeeeee
uyu mtoto bado na anawekundu uson km wa ant yake aliyevaa kimin mi stak...labda akue kdg ndo tutaendana..

kweli lakini wasije wakasema wewe ni fataki
 

kwaiyo unasemaje?
wakat unaniangalia ntakuwwa nafumba macho basi..mi stak kukuvunjia ndoa yako...mi mwislamu km vp nifanye mke watatu basi ili nikuremburie 24 7...
 
Halafu wale waliokuwepo kwenye hiyo sherehe wanasema eti hicho kimini ilikuwa tisa, kumi ni kwamba hata kufuli alikuwa hajavaa! kaaaazi kwelikweli!


wacha kufuli akufunga unaambiwa mdgo wangu anasema akikaa kati unakuta kama mlima kilimanjaro umezungukwa na kifusi cha nyasi
 
kwaiyo unasemaje?
Wakat unaniangalia ntakuwwa nafumba macho basi..mi stak kukuvunjia ndoa yako...mi mwislamu km vp nifanye mke watatu basi ili nikuremburie 24 7...

jamani rose kwa hilo jicho naomba nislim
 
haha haha stak mieeeeeeeeeee
uyu mtoto bado na anawekundu uson km wa ant yake aliyevaa kimin mi stak...labda akue kdg ndo tutaendana..

huyo kakua wekundu wake kabalee utotoni tatizo lake
 
wacha kufuli akufunga unaambiwa mdgo wangu anasema akikaa kati unakuta kama mlima kilimanjaro umezungukwa na kifusi cha nyasi

inaonekana huyu mwanamke alikuwa talk of the night siku hiyo ya harusi watu badala ya ku-focus kwa bwana na bibi harusi watakuwa wali-focus kwa huyu mwanamama
 
Dah huyo dada wa cheni ya msalaba kweli ni mrembo! Nasikia yuko single, anayetafuta mke wa ukweli ajiwasilishe TSN!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…