Huyu dada kanichukuliaje?

Labda dada kaona nyota yako utakuja kuwa kibaka mkuu
 
Alikuwa ni mdokoz alihisi unamfuatilia
 
Ndivo matapeli wanavojuaga nan ana hela,
Ideally ukizoea kushika elf 50, siku ukitembea na laki 5, lazima ujishtukie saana.
So dada wawatu alikuwa vzr kwa levo Yake, ndo maana amejishtukia sana.
Na angekutana na matapeli lazima wangemmmaliza kabisa aibaki na Mia ya nauli
 
Ulivaaje kwanza mana kuna code ukitupiwa lzma uogopwe mtaan
 
Mkuu calm down

Wasiwasi wake au wasiwasi wako ndio sababu,,, huenda hata hakuwa anakukimbia wewe
 
Tatizo ni hicho kinjunga na makobaz na soksi
 
Ndiyo tulivyo wadada tusiokuwa na hela, yan ukiwa town na 50K kwa handbag unaona na kuhisi kila anayekusogelea ni mwizi.

Pole kwa yaliyokukuta.
Umenchekesha sana Depal🀩
 
Daaah kwakwelii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…