Huyu dada namchukulia kama dada yangu, ila amevuka mipaka

kipururu hatari aiseee.... sasa kwa nini na wewe siku ile anavoleta njemba na wew hujajitwalia wa kwako (kipoozeo) kupunguza machungu mkuuu???
 
Wewe ulitaka ifikie wapi?
Kama jambo halikuhusu unaachana nalo,wote hatuwezi kua na msongo wa mawazo kama wewe,tunajipa furaha utakufa bure siku sio zako.

Unataka kujifanya unawaza mambo ya nchi ulikua wapi siku zote? Achana na yasiyokuhusu.
samahani ndugu kama umekwazika na maoni yangu....
 
hata ukipata ngoma liwalo na liwe daaaah..

Sawa tunasubiri mrejesho
 
usiache kula mambo yetu mkuu maana huyo lazima awe anaenda
 
Kwahiyo mnaenda kumalizana lindoni siyo?
 
Wewe ulitaka ifikie wapi?
Kama jambo halikuhusu unaachana nalo,wote hatuwezi kua na msongo wa mawazo kama wewe,tunajipa furaha utakufa bure siku sio zako.

Unataka kujifanya unawaza mambo ya nchi ulikua wapi siku zote? Achana na yasiyokuhusu.
Kwa maneno haya hii stori yako ni ya kutunga
 
Usisahau na picha. Ila inaonekana utaibiwa tu, yani hayo mayowe ya kuigiza ili ujue nawe umemkuna umpe hela.
Kwenye malindo wanapigwa sana, sa we utampa nn cha ajabu?!

Vilio vya mahaba vya kuigiza
 
hakika maskio yamepoza.....mwili.tamaa mbaya kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…