Huyu dada ni lijizi lililoshindikana

Mkuu huyu atakua kidume, jina halisi la mwenye hizo picha anaitwa erryca10( f*uck the spellings)- instragram

Mtoto flani makini ambaye hana hizo njaa, so basically huyo Anna kufungua tu akaunti na kua anaiba picha na kuziweka kwenye page yake( many cases nowadays)

So naomba msimuhukume mwenye picha moja kwa moja
 
Unamchafua tu mwanamke huyo, kwasababu haujaandika alichokuibia au kitu cha kukusukuma kumwandika.
 
unamjuaje?


Au ndio wewe nini?
 
Sio mwizi bwana ila hao waliofungua hizo account labda ndio wezi wanaotumia jina na picha zake kuibia watu

Jina lake na account yake halisi ya instagram ni @erry_cah
Utajuaje kama hilo erry cah ni jina lake halisi?

Maana nimeanza kumjua kwenye mtandao wa Hitwe baadaye kwenye mitandao ya insta na fb na whatsup groups mbalimbali za malaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…