Huyu dada ni lijizi lililoshindikana

Unamchafua tu mwanamke huyo, kwasababu haujaandika alichokuibia au kitu cha kukusukuma kumwandika.
Alitaka kunitapeli pesa huyo

Nilimwomba anitumie picha za uchii akaniambia nimtumie pesa kwanza nikakataa ,nikamwambia aje tutombane akakataa akasema yeye ni picha tu masuala ya kukutana hataki
 
Madege ya sio liwa
 
Wewe mtoa mada ni mkurupukaji
halafu utakua mshamba kichizi
Hii mitandao huelewi na huyo
demu itakua humjui hanaga njaa
za kukuibia mshamba kama wewe
Huyo ni model na ni video queen
unadhani anaweza kukubali
Kuharibu career yake akutapeli wewe?
sema picha zake zinasambaa
Sana kwenye mitandao watu
wanafungua account fake kwa
Picha za huyo demu wawatapeli
Maboya kama nyie ambao mkiona sura
tu mnapagawa na kudata
Cheki page yake ya Instagram
Ni anatumia @Erry_cah_offical
Ni moja tu na hana account facebook
analalamikaga picha zake zinatumiwa isivyo sahihi
Kwa hilo wenge utatapeliwa kila siku
Duh,huyu yupo mtandao wa Hitwe,fb,insta ,whatsup halafu kote ana majina tofauti

Hiyo Fb ana accounts nyingi sana ila majina tofauti
 
Pole sana, kakuchapa ngapi?[emoji297][emoji4][emoji297][emoji297][emoji4][emoji297][emoji16][emoji297]
[emoji297][emoji4][emoji297][emoji297][emoji4][emoji297][emoji297][emoji297]
[emoji297][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji297][emoji4][emoji297]
[emoji297][emoji4][emoji297][emoji297][emoji4][emoji297][emoji4][emoji297]
[emoji297][emoji4][emoji297][emoji297][emoji4][emoji297][emoji4][emoji297]
 
Yani hii sura nakutana nayo mara kwa mara hasa magroup ya malaya whatsup ukiomba picha tu ya mrembo unatumiwa ya huyu dada ila majina yanakuwa tofauti tofauti
Tunajiungaje hayo magroup naomba namba basii[emoji39]
 
Wewe ndio mshamba..... Hizo account unazoziona sio zake. Ni watu wanafungua hizo account wanatumia picha zake

Dah, wizi uliopitwa na wakati enzi za facebook


Upo nyuma sana aisee. Rudi kijijini
 
Duh,huyu yupo mtandao wa Hitwe,fb,insta ,whatsup halafu kote ana majina tofauti

Hiyo Fb ana accounts nyingi sana ila majina tofauti
kule badoo yuko sana mkuu tena anajifanya anaishi kibaa ila jina limentoka kuna jamaa wangu aliingizwa cha kike na huyu mtu mie kashantumie picha kibao badoo sema nimempotezea
 
Alitaka kunitapeli pesa huyo

Nilimwomba anitumie picha za uchii akaniambia nimtumie pesa kwanza nikakataa ,nikamwambia aje tutombane akakataa akasema yeye ni picha tu masuala ya kukutana hataki
Sasa unajuaje ndo mwenye picha hiyo?? Anaweza akawa ni tapeli mwingine tu anatumia picha hiyo kuwavuta watu!
 
kwa nini ni yeye tu na si wengine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…