Huyu dada nimfanyeje? Akiniona anafua huku akinigeuzia wowowo

"Whenever Things Seem To Start Going Well In Your Life The Devil Comes And Gives You A Girlfriend"_nimecopy
 
Sasa mkuu si anafanya usafi wa nguo zake au ?? Acha mawazo ya kingono ngono
 
Akiinama tena siku nyingine mpige bon'goa
 
hilo ndo wowowo linalokutoa roho?
we ni kama simba mla kitimoto
 
Umesema mkeo yuko likizo ya ndoa au ya kazi?
 
kuna mjuzi mmoja wa mambo haya alishaniambiga eti maumbile ya aina hii ni mazuri kwa kuyaangalia kwa macho yangali yamefunikwa hivo hivo. eti ukiondoa hizo nguo unakutana na makunyanzikunyanzi ambayo yanaleta ukakasi hata kuangalia! akamalizia kwa kusema siku hizi hashobokei tena haya maumbile ya hivi!

sijui ni kweli?
 
Duuh asee
 
Kamsemee kwa mamaake
 
Umeshasema mwenyewe kuwa huo ni ujinga,mwambie huo ujinga mimi siutaki ntamwambia mwenyewe,au wewe unataka ufanye nini wakati wewe una mke wako na yeye ana mume wake......?
 
Sasa ushauri gani unataka na wewe umetengewa chakula mezani unauliza unawe au usinawe, wacha hizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…