[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Nyie ndio huwa mnachezea kifiro kwa kushobokea ID fake
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji38] [emoji13] [emoji13]Nyie ndio huwa mnachezea kifiro kwa kushobokea ID fake
Muombe namba ya Tigo pesa.Wakuu salamu kwenu, nimeshindwa kuvulia hili jambo kuna dada humu jf anaitwa scorpio me kauteka moyo wangu nimejaribu kum pm lakini hanijibu.. nimeona ni bora nifunguke kama alivyofanya stereo kwa chemical, na mie nataka nimuweke ndani huyu binti anaeunyanyasa mouo wangu
Ohooo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nyie ndio huwa mnachezea kifiro kwa kushobokea ID fake
Hahahahahahaahahhaahaha labda ndo kamchezo make.[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji38] [emoji13] [emoji13]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"kauteka moyo wako"
"unataka umuweke ndani"
shemeji we ni askari?
Unajuaje kama ndio yy mkuuWakuu salamu kwenu, nimeshindwa kuvulia hili jambo kuna dada humu jf anaitwa scorpio me kauteka moyo wangu nimejaribu kum pm lakini hanijibu.. nimeona ni bora nifunguke kama alivyofanya stereo kwa chemical, na mie nataka nimuweke ndani huyu binti anaeunyanyasa mouo wangu
NimekujaCc scorpio me