Huyu dada sijui vipi!

huyo ni mwaminifu ndio maana akakupa ukweli na wewe mpe ukweli uko na mtu kazi kwisha
 
Acha hiyo tabia jamaa yangu. Huyo hakupendi isipokuwa anatafuta faraja baada ya kutengana na boyfriend wake anayempenda. Kama anakupenda kwanini akufanye kuwa reserve? achana naye huyo, siku ugomvi ukiisha atakutosa tena. Jaribu kuwa na mapenzi kwa anayekupenda. Hiyo tabia ya kuchakachua hovyo inapunguza nguvu za kiume na inakuathiri kisaikolojia. ACHA TAMAA MBAYA.
 
Huyo dada ni mwaminifu hakutaka kuwachanganya. Kwakuwa sasa yuko huru amekupa nafasi. Kama nawe uko huru na unampenda mchukue, atakua mwaminifu kwako kama alivyokuwa kwa ex wake.
Hata wife wangu nilimkuta na jamaa akanitolea nje, baada ya mwaka nikaona salam zinakua nyingi nikadodosa nikajua yuko free. Nikaingia mahusiano. Tangu 2005 nikawa nae, 2008 tukahalalisha na mpaka leo shwari kabisa.
Kuwa na jamaa na kuachana nae ni kawaida tu kimaisha. Kikubwa mtaanza vp ya kwenu.
 

Kama makombo yanalika pouwa tu
 

muulize Mimi hanipendi? Ka vp nipe mie huyo nipige fasta
 
hapana usimchakachue we mwambie tu ukweli kuwa una mtu wako. aamu yeye mwenyewe kusuka au kunyoa
 
nakushauri achana nae maana unaweza fikiri unamkomoa kumbe unajikomoa mwenyewe
 

ukumbuke urafiki wao haukua na uaminifu sasa na wewe unaunga mnyororo wa kutokua na uwaminifu katika urafiki wenu.especting HIV DISEASES Will continue with you
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…