Masaki taratibu mkuu maana jamaa bado mgeni na ndo kaingia inawezekana ikawa post yake ya kwanza.
Ni vizuri kumfungua macho mkuu. Maana asije kuanza kulalamika mtaani ajira hakuna, kwanini wanaajiriwa Wakenya (na siku hizi kuna Wafilipino pia wamevamia soko la ajira). Kumbe masikini ya Mungu barua zake hazina mvuto kwa mwajiri mtarajiwa na hivyo kushindwa kuitwa hata kwenye usaili.
kiukweli nimemaliza udom kuna binti nilimwa proach akasema hapana,kisa anadai mi ni handsome sana so siwezi pata wa type yangu hapa chuo,kimsingi i luks attractive even ma rummate tells me,i was student minister in government i went south Africa under sponsorship of state house na anajua it gives me popularity at college much,but simwelewi kabisa ana sms love text like my love,etc ananiletea fud rum,but simwelewi totally,tumemaliza chuo na ndo anasisitiza hivo,ila alikuwa na BF wake wakaachana nami i had mine tukaachana tena kwa amani kabisa,na anajua na they ar some how friend,it is ma first time kuja hapa pls walio siriaz na hili air out ur views,pls am so so in need of her in future,na am single,
Ni vizuri kumfungua macho mkuu. Maana asije kuanza kulalamika mtaani ajira hakuna, kwanini wanaajiriwa Wakenya (na siku hizi kuna Wafilipino pia wamevamia soko la ajira). Kumbe masikini ya Mungu barua zake hazina mvuto kwa mwajiri mtarajiwa na hivyo kushindwa kuitwa hata kwenye usaili.
Masaki ukisoma hapo juu mwanzo mwisho hupati picha jamaa anasema nini
Maana hizo south africa sijui state house sijui Minister duh sipati picha huyo dem alivyokuwa anamchoka mshkaji
I am attractive Tanzanian ,very handsome guy aged 25 years oldni kweli kwenye barua anaweza kuweka 'I m Atractive tanzanian'
Masaki ukisoma hapo juu mwanzo mwisho hupati picha jamaa anasema nini
Maana hizo south africa sijui state house sijui Minister duh sipati picha huyo dem alivyokuwa anamchoka mshkaji
Wewe acha tu, ila kama ulivyosema tusimshambulie sana. Siku hizi watoto wanaanza shule wakiwa wadogo sana na pengine mshkaji kamaliza Chuo akiwa bado mdogo sana. Akikua ataacha!
mkuu nimeshtushwa sana na hiyo university productni kweli kwenye barua anaweza kuweka 'I m Atractive tanzanian'
mkuu nimeshtushwa sana na hiyo university product
hakyanani sijui alivukaje kote huko
ni bora angeandika kiswahili tu....
yaani hata mentality yake imenipa shoko!! wahaya tunasema yaani kajamaa kamenipa shoko'
seriously, nimeshtushwaMkuu MTM hapo hajaandika barua ya kuomba kazi sasa kama hutaona vituko vya mwaka
Human Resources Manager wana kazi kubwa sana ya kusoma na kuwasikiliza watu kama hawa
seriously, nimeshtushwa
Mr. Handsome has a lot to learn aisee
Hahahaha!!! Eti mzee wa South Africa lol!!!comments za Great Thinkers zimemkimbiza handsome boy...hebu rudi ujibu mashambulizi haya mzee wa south africa.
Hahahaha!!! Eti mzee wa South Africa lol!!!
if this is one of our national universities products, then we are in a deeper crisis than CCM
Lord have mercy!!!
ni kweli kwenye barua anaweza kuweka 'I m Atractive tanzanian'
I am attractive Tanzanian ,very handsome guy aged 25 years old
mkuu nimeshtushwa sana na hiyo university product
hakyanani sijui alivukaje kote huko
ni bora angeandika kiswahili tu....
yaani hata mentality yake imenipa shoko!! wahaya tunasema yaani kajamaa kamenipa shoko'
Nyie watu nimecheka mpaka basi lol!!!seriously, nimeshtushwa
Mr. Handsome has a lot to learn aisee
Sijui kama kweli ni mwanafunzi wa UDOM huyu aiseeMwanaume HB bana anaringa kwa kuwa anaambiwa na wanaume wenzake kuwa damn you are so handsome halafu anashangilia
teh teg teh eeeh! Umemmaliza kabisa,nafikiri harud tena hapaI am attractive Tanzanian ,very handsome guy aged 25 years old
Sijui kama kweli ni mwanafunzi wa UDOM huyu aisee
teh teg teh eeeh! Umemmaliza kabisa,nafikiri harud tena hapa