Dena pls kam down,mbona nina andamwa sana,why lakini?je dena mtu akiwa HB taabu?mimister taabu??S.Afrika taabu,sasa naenda Bankok Thailand tarehe 26.August,two weeks,be kind to others like LizzAcha kucheza na akili za watu wazima kama mimi Hukomi eehh?! Acha ujinga wewe
Ahahahaah!! Bora umerudi.....achana na huyo binti!kuweni makini,msiropoke hovyo
preta why so harshy?pls kam down,why too arrogant???acha upuuzi dogo......sawa!!!
mkuu ukiita wa2 washamba ndo unakosea,kuna people humu wao kwenda SA ni kama m2 wa hapa dar kwenda kudhurura mitaa ya posta or mwenge.so u can imagne wewe na cc nan mshamba.lizz wananikera,am new,why guys are too arrogant??kwani mtu ukiwa HB tabu??minister tabu??south Afrina taabu,washamba sana na kila siku ntapambana nao
kuna binti nasoma nae ameachana na BF wake nami i had mine ila pia tumeachana,kimsingi nime mwa proach na hakika nataka tuowane for life yaani namaanisha,ila kasema haiwezekani,reasons behind ETI anadai mi handsome sana in such a way siwezi pata wa kufanana nae,kwa hapa tulipo,ananitumia love sms,na ananiletea dinner wakati nipo busy so sielewi,what she mean,pls yeye anadai mi handsome sio mm nasema,Lizz pls ur comment na wengine pia.
Dogo lugha ya Malkia huijui ongea kiswahili tuDena pls kam down,mbona nina andamwa sana,why lakini?je dena mtu akiwa HB taabu?mimister taabu??S.Afrika taabu,sasa naenda Bankok Thailand tarehe 26.August,two weeks,be kind to others like Lizz
kuna binti nasoma nae ameachana na BF wake nami i had mine ila pia tumeachana,kimsingi nime mwa proach na hakika nataka tuowane for life yaani namaanisha,ila kasema haiwezekani,reasons behind ETI anadai mi handsome sana in such a way siwezi pata wa kufanana nae,kwa hapa tulipo,ananitumia love sms,na ananiletea dinner wakati nipo busy so sielewi,what she mean,pls yeye anadai mi handsome sio mm nasema,Lizz pls ur comment na wengine pia.
Dogo acha bangi right?!why lakini,hakuna mtu wa busara kama LIzz???mbona wengi mnaropoka??senetor,sangara,Lizz ebu niteteeni jamani,am fed up,they are too arrogant,why??
Dah yaani umepoteza nguvu zako kwa huyu mpuuzi pole mwayaUnapashwa kuwa na uhakika kwa hayo maneno unayosema , kwani suala la kuoa sio jambo la mchezo ,elewa kua hata huyo binti anataka kukupima kama umemaanisha au la'' japokuwa anakupenda , lakini nakushauri kama umedhamilia kuoa kweli fuata taratibu zinazotakiwa ,ili ujenge heshima kwake na aelewe kinachoendelea ni rahisi kufikia malengo uliyokusudia, lakini kama utaishia kumwambia yeye tu biila kuchukua hatua za makusudi ndoto yako haitatimia na mwisho wake mtabaki kutupiana mpira wa lawama wa kupotezeana muda'' kama kijana uliyelelewa katika maadili mema tumia njia sahihi na pata muda wa kumchunguza tabia yake kabla hujafikia maamuzi hayo mazito''
So young man, do you mean you look attractive to your Roommate? and you are busy bragging for that?
When you said "...ila alikuwa na BF wake wakaachana nami i had mine tukaachana..." do you mean what i understood?
hii ngoma nahisi mchicha mwiba inadeeeeka:mimba:
hii ngoma nahisi mchicha mwiba inadeeeeka:mimba: