Atapata ya moja kwa moja si yupo education maana hao ndo waliomaliza chuo hao wengine si walifukuzwa ndo wanapiga paper toka juzi.Ni vizuri kumfungua macho mkuu. Maana asije kuanza kulalamika mtaani ajira hakuna, kwanini wanaajiriwa Wakenya (na siku hizi kuna Wafilipino pia wamevamia soko la ajira). Kumbe masikini ya Mungu barua zake hazina mvuto kwa mwajiri mtarajiwa na hivyo kushindwa kuitwa hata kwenye usaili.
Kwenye 'guy' angeweka 'gay', bila shaka.I am attractive Tanzanian ,very handsome guy aged 25 years old
Unasoma nae, hujamaliza chuo?kuna binti nasoma nae ameachana na BF wake nami i had mine ila pia tumeachana,kimsingi nime mwa proach na hakika nataka tuowane for life yaani namaanisha,ila kasema haiwezekani,reasons behind ETI anadai mi handsome sana in such a way siwezi pata wa kufanana nae,kwa hapa tulipo,ananitumia love sms,na ananiletea dinner wakati nipo busy so sielewi,what she mean,pls yeye anadai mi handsome sio mm nasema,Lizz pls ur comment na wengine pia.
Kaongeza na Thailand wiki 2, ndo anazidi kuharibu.mkuu ukiita wa2 washamba ndo unakosea,kuna people humu wao kwenda SA ni kama m2 wa hapa dar kwenda kudhurura mitaa ya posta or mwenge.so u can imagne wewe na cc nan mshamba.
umeanza lini haya mambo ya ku-crap thread za watu tena ma-handsome utakosa mume weye haaaya lol!Crap
crap
crap
hehehe! Ukiona hvyo imeniboa sana. Hujambo kaka mkubwa?umeanza lini haya mambo ya ku-crap thread za watu tena ma-handsome utakosa mume weye haaaya lol!
Kaka mkubwa tena ? unataka kuninyima nini Husn jamani hahaha! Huyu wala husumbuki vifaaa vya pedicure/manicure,cleanser,moisterizer,poda vyote utavikuta kwake.hehehe! Ukiona hvyo imeniboa sana. Hujambo kaka mkubwa?
hahahaha! Umenikumbusha kuna mzee moja nimemwamkia shkamoo anajibu poa, nikarudia tena shkamoo, yeye poa. Nikamwambia babu nakuamkia shkamoo ndio akajibu marahaba kwa aibu. Vizee vya cku hzi noma.Wewe ckunyimi kitu mpenzi, utapata hadi usivyotaka. Lol.Kaka mkubwa tena ? unataka kuninyima nini Husn jamani hahaha! .
kweli kabisa mkuu.Mwisho ma handsome wanageukaga mashoga
kiukweli nimemaliza udom kuna binti nilimwa proach akasema hapana,kisa anadai mi ni handsome sana so siwezi pata wa type yangu hapa chuo,kimsingi i luks attractive even ma rummate tells me,i was student minister in government i went south Africa under sponsorship of state house na anajua it gives me popularity at college much,but simwelewi kabisa ana sms love text like my love,etc ananiletea fud rum,but simwelewi totally,tumemaliza chuo na ndo anasisitiza hivo,ila alikuwa na BF wake wakaachana nami i had mine tukaachana tena kwa amani kabisa,na anajua na they ar some how friend,it is ma first time kuja hapa pls walio siriaz na hili air out ur views,pls am so so in need of her in future,na am single,
Handsome hii thread sio mahala pake bana, naona utoto mwingi hayo matatizo ni madogo sana it look your too young to have an affair sababu issue unazo zieleza ni ndogo saana kuwaelaza watu wakusaidie. Tulia ukue kidogo hayo mambo sio ya kukimbilia Dogo
duh! We mkaka mbona serikali ya UDOSO iliyopita hapa ng'ox na haiti haikuwa na handsome hata mmoja? Ulikuwa Mbunge au waziri wa nini wewe? Mwee eti ur so handsome hakuna wa kukufaaa? Alichokuambia was vice versa, ur ugly..! Sory!kiukweli nimemaliza udom kuna binti nilimwa proach akasema hapana,kisa anadai mi ni handsome sana so siwezi pata wa type yangu hapa chuo,kimsingi i luks attractive even ma rummate tells me,i was student minister in government i went south Africa under sponsorship of state house na anajua it gives me popularity at college much,but simwelewi kabisa ana sms love text like my love,etc ananiletea fud rum,but simwelewi totally,tumemaliza chuo na ndo anasisitiza hivo,ila alikuwa na BF wake wakaachana nami i had mine tukaachana tena kwa amani kabisa,na anajua na they ar some how friend,it is ma first time kuja hapa pls walio siriaz na hili air out ur views,pls am so so in need of her in future,na am single,
duh! We mkaka mbona serikali ya UDOSO iliyopita hapa ng'ox na haiti haikuwa na handsome hata mmoja? Ulikuwa Mbunge au waziri wa nini wewe? Mwee eti ur so handsome hakuna wa kukufaaa? Alichokuambia was vice versa, ur ugly..! Sory!
meona eeh? Alikuwa waziri wa nini huyu? Lazma kanatokea sosho haka kahandsome!Huyu jamaa mshamba kweli,yan kwenda south africa akakaa cku mbili ndo anaona katembea...hawa ndo wanaofanya udom idharaulike yan.
exactlykama ckosei utakua umegraduate wt ba-arabic.