huyu dada vipi,siriaz nisaidieni jamani

Hahahahah Sabry mvumilie kidogo maana naona anajiboost watu wajue ni handsome na kama kupata wachumba apate
kanikera! Sasa analeta picha mbaya kwa JF bwana kuwa UDOM wanamaliza vilaza kumbe kuna watu wako fiti! Asingetaja jina la chuo...afu mbona serikali nzima UDOM walikuwa c maHB kivile mpaka ajitamue hapa bhana!
 
meona eeh? Alikuwa waziri wa nini huyu? Lazma kanatokea sosho haka kahandsome!
sosho ndo kwenye benk ya MAHANDSAM wjinga?
weee kuwa na adabu!!!!!!

uyu katoka engneeeringggggggggggg!!!!!!!!!!!!!
 
Atapata ya moja kwa moja si yupo education maana hao ndo waliomaliza chuo hao wengine si walifukuzwa ndo wanapiga paper toka juzi.
Education haiwezi toa ji2 jinga hv bhana. Huyu atakuwa anasoma BA CHINESE AU ARABHIC
 
sosho ndo kwenye benk ya MAHANDSAM wjinga?weee kuwa na adabu!!!!!!uyu katoka engneeeringggggggggggg!!!!!!!!!!!!!
hahaha! Rose! Km hadi sosho mwamkataa bs ametokea cbe au mipango
 
duh reply nyingi halafu zote kumponda.but its obvious he is trolling.
 
Hahaha ingawa moyo hausemezeki kwa kitu unachokipenda lakini huyo dada hakufai achana naye wamejaa tele kama pishi ya mchele.utampata mwengine
 
Hahaha ingawa moyo hausemezeki kwa kitu unachokipenda lakini huyo dada hakufai achana naye wamejaa tele kama pishi ya mchele.utampata mwengine
 
una jisia ujinga Mahandsome wanajisifia????????????????????? au kapuku tu acha habar zako wwwwwwwwwwwwww!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
achana na mbio za panya rat race!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Duuh!! Hivi ndivyo wasomi wa siku hizi mnavyoandika? Nimesoma kichwa cha mada na uliyoandika Hayaeleweki kabisa. Hata mtiririko wa mada haujulikani. Kaaaazi kweli kweli.
 
no comment,from ur contributions,endeleeni,illa mjadala nimefunga.
 
kanikera! Sasa analeta picha mbaya kwa JF bwana kuwa UDOM wanamaliza vilaza kumbe kuna watu wako fiti! Asingetaja jina la chuo...afu mbona serikali nzima UDOM walikuwa c maHB kivile mpaka ajitamue hapa bhana!

Mi ndo hapo aliponchefua sana tu, aache kujifagilia upupu kwa kutumia jina la UDOM....umesikia dogo?
 
So young man, do you mean you look attractive to your Roommate? and you are busy bragging for that?
When you said "...ila alikuwa na BF wake wakaachana nami i had mine tukaachana..." do you mean what i understood?


mkuu kamaliza UDOM muache kijana...roommate wake alikuwa na GF wake, halafu yeye handsome, mhhhh mwaka huu JF ina kazi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…