Ni demu wa mshikaji, mbaya zaidi anatembea na jamaa mwingine and kamtambulisha huyo jamaa mwingine kwa mpenz wake, and hao wanaume wamekuwa marafiki bila kujijua wanatembea na demu mmoja, sasa sipati picha jamaa anaezungukwa akijua, Mungu aingilie kati kwa kweli