kupenda kuko moyoni huwezi zuia,ninachokiona huyu mwanamke hakufai ht kidogo,kwanini hakukusubiri km anakupenda?we hufikirii hilo?kilichotokea ni kwamba ameenda huko akaona mambo ni mazito ndomana anataka aje kwako akijua atapata faraja,asikuzingue kabisa mpe kubwa na mchenjie kua asikuzoee kabisa,we ni wakiume hujui kua na msimamo na mkwara huna wewe?hebu kua mtu mzima kijana angu,mademu wako wengi sn utapata mzuri ht km ulie nae hujampenda,kikubwa akuheshimu na akutunzie ipasavyo,pia usikurupuke ktk suala la kuoa utakuja lia kaka