Tetesi: Huyu Dingi Yao Kama anajua Anapendwa Kwanini Anakataa Kuendeleza katiba Mpya ya Warioba

Tetesi: Huyu Dingi Yao Kama anajua Anapendwa Kwanini Anakataa Kuendeleza katiba Mpya ya Warioba

Greataziz

Senior Member
Joined
Feb 8, 2018
Posts
124
Reaction score
99
Huyu Dingi Yao Kama anajua Anapendwa Kwanini Anakataa Kuendeleza katiba Mpya ya Warioba...!! Kwanini CCM na Genge Lao Ukiwaambia kuhusu katiba Mpya wanatukana matusi na kutamani kukuua kabisa wengine wanaenda Mbali Zaidi na kukuitia Police kama we mchochezi. Huyu mzee wao kama anajinasibu anakubalika kwanini asiruhusu katiba Mpya Imaliziwe...!!
 

Attachments

  • GBWA-20180324141638.jpg
    GBWA-20180324141638.jpg
    29.1 KB · Views: 36
Hakuna kitu inaitwa katiba ya Warioba. Warioba aliongoza tume ya kupokea mapendekezo ya katiba mpya. Mapendekezo yalijadiliwa na kupitishwa na bunge la katiba kilichobaki ni kura ya maoni.
 
Hakuna kitu inaitwa katiba ya Warioba. Warioba aliongoza tume ya kupokea mapendekezo ya katiba mpya. Mapendekezo yalijadiliwa na kupitishwa na bunge la katiba kilichobaki ni kura ya maoni.
Hiyo hiyo ndio inaongelewa sasa shida iko wapi kuiendeleza tupate katiba mpya kama anajinasibu kuwa anapendwa
 
Back
Top Bottom