hahahahhah humu kuna watu wa umri gani jamani,mpaka haka katoto mnataka tukajadili kwani tushafanya mangapi katika umri wake :spider:
yani hii sredi ianonyesha digidigi wapo sanahahahahhah humu kuna watu wa umri gani jamani,mpaka haka katoto mnataka tukajadili kwani tushafanya mangapi katika umri wake :spider:
hahaha kwani una umri gani shosti>? Ni PM tafadhali......
mh... nadhani kuna sheria/taratibu ya ku-acknowledge the author... plagiarism sio kwenye dissertation tuits her blog! she can put whatever she wants,be it copy and paste or not...mnh
nimecheka sana baada ya kusoma wapi alipoyatoa hayo maneno! shame on her, halafu anajidai anajua ki inglishi, kwani kuna shida gani akiandika kimatumbi?
nafikiri kwasababu anayemcopy anafunga blog na yeye ameamua kufunga.
hawa ndio wale wanaogelezea mpaka jina kwenye mtihani.
SHAME ON U SO CALLED DIVA
its her blog! she can put whatever she wants,be it copy and paste or not...mnh
its her blog! she can put whatever she wants,be it copy and paste or not...mnh
Yani huyu mdada blog yake ni anacopy na ku-paste from American bloggers na anatufanya sisi kama mazuzu ivi. ...cjui anafkiri hatuoni au? watu wengine wasiwe tu na blog jamani manake naona imekuwa kama fashion Tanzania halafu wanaongea pumba tu...blog gani inapendwa zaidi?
Leo kaandika hivi na kimdoli pembeni...
I'm taking an extended break from blogging and may not be back online for quite a while.
I just have some personal stuff going on in my personal life and other issues so I just can't put my all into blogging right now.
But hey, follow me on twitter. That's where I'm at! Big thanks tomy fans for all their support. As for the readers, I'll be seeing you guys in the foreseeable future and thanks so much for supporting.
xoxo Diva 255 Inspirations: BREAKING NEWS !! ITS ABOUT TIME ....
ukifuatilia vizuri..hii ka-alternate kidogo tu, manake kacopy hapa
Toya'z World // My R&B, pop fix…
its her blog! she can put whatever she wants,be it copy and paste or not...mnh