scatter
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,667
- 926
Wadau habari vp naona kama jf yetu imevamiwa na wakulima wa ndizi
Hivyo muda wote kunakua na thread zisizi na kichwa wa la miguu tafadhali naombeni wasifu wa mkulima huyu ili apewe utaratibu mzuri wa kuandika thread za kijanja ..
Tupo katika kuelekezana wadau
Hivyo muda wote kunakua na thread zisizi na kichwa wa la miguu tafadhali naombeni wasifu wa mkulima huyu ili apewe utaratibu mzuri wa kuandika thread za kijanja ..
Tupo katika kuelekezana wadau