Hahaha mkuu naona Kaku udhi sanaWadau habari vp naona kama jf yetu imevamiwa na wakulima wa ndizi
Hivyo muda wote kunakua na thread zisizi na kichwa wa la miguu tafadhali naombeni wasifu wa mkulima huyu ili apewe utaratibu mzuri wa kuandika thread za kijanja ..
Tupo katika kuelekezana wadau
[emoji23] [emoji23]Mkulima yupi sasa
Jose samahani kidogo
Hahaha watu mna mambowhy alime ndizi mkuu,kuna kitu behind hapa
Wapo wenye Kazi hizo bro Mimi ni mburudishaji tuEt ndo undercover wa sasa...anavunga na interview kupata raia na kuweka pics za mademu kuvuta watu PM.
Unawashwawashwa wewe!Wadau habari vp naona kama jf yetu imevamiwa na wakulima wa ndizi
Hivyo muda wote kunakua na thread zisizi na kichwa wa la miguu tafadhali naombeni wasifu wa mkulima huyu ili apewe utaratibu mzuri wa kuandika thread za kijanja ..
Tupo katika kuelekezana wadau
Hata manabii hawakupendwa na kila mtu hata Mimi siwezi mfurahisha kila mmoja!Sema ndo hivyo kilamtu anauhuru wake,
Ila kuna watu huwa wanakera sana,
Kuna huyu dj sepetu kuna mwingine anajiita vladmiri putin hawa jamaa bhana,
Bora huyu dj sepetu yule mwingine sasa mara katongozwa na mademu pm hawataki mara blah blah ili mradi ujinga ujinga tu
Dada coco asanteAcha wivu.