Hapana nilikua nakupokeHivi hapo ndio umenikiss eenh
Nikirudinae utamuona bae, maana sio kwa upako huu....tehteehhNina mashaka amekupitia hata hapo kanisani umerudi nae nyumbani
Jaman nikajua ni kiss na me nirudishe [emoji8]Hapana nilikua nakupoke
[emoji23] tuko pamoja kwenye shida na rahaJaman nikajua ni kiss na me nirudishe [emoji8]
Ewaaaa ndio mana nakupenda[emoji23] tuko pamoja kwenye shida na raha
Tena premium member[emoji23] [emoji23]
Tena premium member[emoji23] [emoji23]
Uliyotyaa nyabbo!
tehteehh.....[emoji12]
Mdomo wangu umebaki wazi aki....[emoji47] [emoji47]
We kaza mwendo...Demiss unajua watu wengine wanastaajabisha wamejaa chuki
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hata demiss Mrs mshana hana chuki!Unaanzishia uzi mwanaume mwenzio??acha mipasho hizo kazi za kuanzishia uzi wanaume waachie kina demiss!
Umenifurahisha aspirin "ignore list"[emoji23] [emoji23]We kaza mwendo...
Mtu hakulishi wala hakulipi anakukwaza nini???
Kwani JF analipia au ni mali ya baba yake??
Ukiona kitu kinakukwaza si unapotezea tu? Au kama vipi unampeleka kwenye ignore list biashara inaisha...
Thanks broDJ Sepetu mnamuonea tuu mimi sijawahi kumkuta huyu jamaa jukwaa la siasa au kule jamii inteligence
yeye mambo yake ya burudani huishia jf chi chat sasa hapo kakuudhi nini
ukiona umeingia JF Chit Chit alafu unakereka basi jua umepotea njia wewe jukwaa lako ni lile la kina Malcom Lumumba
DJ Sepetu endelea kushusha vitu
ExactlyHahaha! Unajua huu mchezo hautaki hasira,wao wanafanya mambo kutafuta kujulikana ilhali sisi wengine tunafanya naturally
Funga kazi kwa upumbavu hapa JF ni yule anajiita Gentamycine.Sema ndo hivyo kilamtu anauhuru wake,
Ila kuna watu huwa wanakera sana,
Kuna huyu dj sepetu kuna mwingine anajiita vladmiri putin hawa jamaa bhana,
Bora huyu dj sepetu yule mwingine sasa mara katongozwa na mademu pm hawataki mara blah blah ili mradi ujinga ujinga tu