Kasomi the Emmanuel, Mungu akujalie afya njema, umri mrefu, maisha yenye furaha na amani, na kila jambo jema unalolianzisha likawe na mafanikio makubwa. Ubarikiwe sanaBujibuji ukisitaajabu ya Dj DON NALIMISON utayaona ya Dodoma Demand
Jamaa miyeyusho zaidi ya yule aliye muona yesu na mke wake.
Mshana Jr you are crushing my tiny ribs, wee mzee wewe, dah. Mbinguni hakika imeandaliwa neema.nyingi Sana kuliko watakatifu wengi
Hahahaha[emoji23]Hahaaa na anavyoongea alivyotoa mimacho
AminaShukurani mkuu kwa kunitakia mema pia na wewe ubarikiwe sana.
Amina๐๐๐