anakosa kitu kimoja kikubwa sana nacho ni NYOTA/BAHATI. yani hiki kitu ukiwa huna bana una kazi kweli katika kifanikiwa hata kama utakuwa na jitihada au ubora kiasi gani..hii ipo hata maofisini kuna watu wanapiga kazi kweli kweli na wengine ni wakongwe kazini lakini hawapandi vyeo au kupewa kipaumbele kwnye mambo fulani. But utakuta mwengine jitihada yake ni ya kawaida tu lkini wakuu wote wanamuona yeye tu na promosheni kibao,tena ni kijana wa juzi tu kazini...Nyota Nyota Nyota.