Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Nimejaribu kusoma CV ya huyu kijana anaitwa Elia Wilinasi nimeshituka sana.
Hii ndio CV yake https://www.linkedin.com/in/elia-wilinasi-a08443175
Kama mnakumbuka nimewahi kuleta uzi mmoja uliokua unaeleza jinsi alivyo toa ushauri kuhusu bei ya mafuta, gesi and mbolea na hatua ambazo serikali ingezichukua ili kuidhibiti bei iliyokua inapanda.
www.jamiiforums.com
Anaonekana anafahamu mambo mengi kuhusu mafuta na gesi.
Mimi binafsi ni mdau wa mafuta na gesi. Lakini mambo niliyoona huyu kijana anayo ni makubwa sana.
Anaweza kutusaidia tukimpatia nafasi ya kukaa mahali.
Hii ndio CV yake https://www.linkedin.com/in/elia-wilinasi-a08443175
Kama mnakumbuka nimewahi kuleta uzi mmoja uliokua unaeleza jinsi alivyo toa ushauri kuhusu bei ya mafuta, gesi and mbolea na hatua ambazo serikali ingezichukua ili kuidhibiti bei iliyokua inapanda.
Watalaam wa mafuta na gesi Tanzania waishauri serikali juu ya ongezeko la bei za mbolea, mafuta ya petroli na dizeli nchini
Watalaam wa mafuta na gesi Tanzania: Waishauri serikali juu ya ongezeko la bei za mbolea, mafuta ya petroli na dizeli nchini. Kuhusu kupanda kwa bei za mafuta ya petroli na dizeli, mtaalam wa mafuta na gesi Bwana Elia Wilinasi amesema mafuta ndio nishati inayoendesha injini ya uchumi wa dunia...
Anaonekana anafahamu mambo mengi kuhusu mafuta na gesi.
Mimi binafsi ni mdau wa mafuta na gesi. Lakini mambo niliyoona huyu kijana anayo ni makubwa sana.
Anaweza kutusaidia tukimpatia nafasi ya kukaa mahali.