Sharobaro la jf
JF-Expert Member
- Apr 23, 2020
- 237
- 325
Wakuu habarnii za miangaiko ya hapa na pale, kiukweli kuna mwanamke tuliachana miezi mitatu imepita ila cha ajabu nashindwa ku move on jamani mda huu kanifanya mtumwa maana nimemuomba turudiane kakubali ila sasa hajawahi kunitumia SMS hadi mimi nimuanze na anajibu kifupi.
Najua hanipendi na ana kila dalili kuwa kashapata mtu ila nashindwa kumsahau na kila nikijitahidi kusema ni move on kwake najikuta tu nashindwa, naombeni wakuu mnipe mawazo, maana na yeye kashajua siwezi kuishi bila yeye ananifanyia vituko
Najua hanipendi na ana kila dalili kuwa kashapata mtu ila nashindwa kumsahau na kila nikijitahidi kusema ni move on kwake najikuta tu nashindwa, naombeni wakuu mnipe mawazo, maana na yeye kashajua siwezi kuishi bila yeye ananifanyia vituko